Lecturer part 2

Lecturer part 2

Kwa upeo wangu my dear nakushauri for the time being usiendelee kuiandika kwanza hii habari mtandaoni kama pressure mapak hapa ushapresulize vya kutosha.Nina sababu nyingi za kukuleza hivyo sitaweza kuandika ila kisheria unaweza ukawa unajeopadize(sijui neno zuri la kiswahili Ruttashobolwa utanisaidia)some evidence and facts halafu pia bwana adui hatakiwi kujua the weapon you possess so for the time being pambana kimya kimya,ukikwama tayari ushaona watu hapa ambao u can consult them thru pm
 
Last edited by a moderator:
Hongera..
endelea hivyo hivyo
atakuogopa milele hata kama asipochukuliwa hatua
tayari umeshatoa statement hapo
 
Kwa upeo wangu my dear nakushauri for the time being usiendelee kuiandika kwanza hii habari mtandaoni kama pressure mapak hapa ushapresulize vya kutosha.Nina sababu nyingi za kukuleza hivyo sitaweza kuandika ila kisheria unaweza ukawa unajeopadize(sijui neno zuri la kiswahili Ruttashobolwa utanisaidia)some evidence and facts halafu pia bwana adui hatakiwi kujua the weapon you possess so for the time being pambana kimya kimya,ukikwama tayari ushaona watu hapa ambao u can consult them thru pm

Asante.....nmeelewa
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna kati ya hizo yenye kishkizo , mkanda au sehemu yeyote yenye ugumu kama plastik au chuma au ngoz fingerprints zitaonekana...
tunataka pia tuangalie DNA ya mlalamikiwa kwenye nguo za mlalamikaji
 
Kumbe ni chuo hiko chenye uongozi mpya!pole sana mdada!komaa ili ashikishwe adabu.
 
If God is for us, who can be against us? - Romans 8:31


Yeye ndiye kila kitu,hivyo atafanya njia

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nitakapotaja chuo kwa ss italeta taharuki sana na hata wakuu wakashindwa kufanya wanachokikusudia.Ila pale itakapodi kufanya hivyo bas sina jins
inawezekana unasoma sheria..enh? maana kwa kusema hayo uliyosema hapo juu design ume speak kama learned friend hivi..daaah..
 
go go girl!
kuna kijitu huwa inaamini falsfa ya kipanya sana!kila shimo ardhini ni lao!
 
Yeah....yy ni mwanadamu km mm sina haja yakumuogopa.
 
Hongera sana miss strong, mabinti wote wangekuwa kama wewe, hawa malecturer makanjanja wanaodhani kila mwanafunzi wa kike hana ubongo ila anatumia chini kupata degree wangeisha. Usikate tamaa mpenzi tupo pamoja nawe.
 
Ni wakati wakutoa njia mbadala!
Hebu toa hiyo njia mbadala mkuu
Sina uhakika na usahihi wa njia unayoitumia kutatua tatizo hili, linaweza kukuleta matatizo zaidi kuliko kutatua. Nadhani kungekuwepo na njia bora zaidi ya kushughulikia swala hili, kila la heri lakini.
 
jeneneke ni kweli, kwanza hapa alipofikia alipata muongozo kutoka hapa! Na kuna process za kufata amezipata hapa lakini ambacho naweza kuungana na wewe kwanza ahakikishe analishughulikia na hii iwe public updates ya mwisho mpaka takapo maliza hii case! Lakini hii hata win bila shaka

keep it up miss strong
Kwa upeo wangu my dear nakushauri for the time being usiendelee kuiandika kwanza hii habari mtandaoni kama pressure mapak hapa ushapresulize vya kutosha.Nina sababu nyingi za kukuleza hivyo sitaweza kuandika ila kisheria unaweza ukawa unajeopadize(sijui neno zuri la kiswahili Ruttashobolwa utanisaidia)some evidence and facts halafu pia bwana adui hatakiwi kujua the weapon you possess so for the time being pambana kimya kimya,ukikwama tayari ushaona watu hapa ambao u can consult them thru pm
 
Last edited by a moderator:
Ni wakati wakutoa njia mbadala!
Hebu toa hiyo njia mbadala mkuu[/QUOTE
kwa lilipo fikia nishauri tu kwamba sasa liachwe kwa hizo mamlaka alizolifikisha hapa mtandaoni lisiletwe mpaka hapo baadae hatua zitakapo kuwa zimechukuliwa kikamilifu.
 
Komaa nae huyo nyau poli utaokoa wenzio wengi wanaofirigiswa huku wameficha siri.
 
Nitafanya hivyo ila nitatoa muda rasm wa haya mambo kushughulikiwa.
 
Back
Top Bottom