miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu.
Nashukuru kwa ushauri wenu na maombi yenu juu ya yaliyonikuta kwa huyo lecturer kama nilivyotuma katika huu mtandao wik iliyoisha.
Nilichukua maamuz ya kwenda kwa DS moja kwa moja baada yakutoka kwa HOD,Nilipoonana na DS nilieleza hali halis iliyonitokea na kuniomba nisiogope maana yeye ni baba kwahiyo niwe huru tu.Baada yakuyasikiliza hayo yote ikabidi twende nae kwa mkuu wa chuo.Aliniacha na mkuu wa chuo na nikajieleza kama nilivyofanya kwake.
Mkuu wa chuo aliniomba nimwandikie yeye barua na kuahidi kuwa lazima hilo alifanyie kazi maana kaletwa kwa ajil ya kaz hiyo maana chuo hicho kilikuwa kinanuka tabia hizo na hatamuonea mtu aya maana hakuna mtu anayemjua yeye ni mgeni.Amekiri kuwa huko chini kuna kulindana sana.
Aliomba nimuahid kama nitafanya hivyo maana mimi ndo nitawapa wao nguvu ya kuendesha hiyo kesi....!
Tayari nimeandika barua na nimetengeneza CD ya maongezi yale aliyokuwa ananiambia.
Walikuwa wanaisubiri na kuniambia kuwa walihisi labda nimenunuliwa baada yakuona nimechelewa kurudisha hiyo barua maana kati ya hao wakuu alipoonana na( mwalimu ) hakumchangamkia kama ilivyo kawaida na kuhis kuwa ameshituka au amesikia kuwa mimi nimeenda kushitaki hiyo kesi.
Nimeambiwa hizo nguo ambazo nilizozivaa siku hiyo la tukio nisizifue wala kushikwa na mtu mwingine,na tayar nimefanya hivyo.Tunasubiria maamuz ndan ya wiki hiyo ijayo lakin tayar limeanza kufika kwa wanafunz na kama litacheleweshwa bas nitataja chuo kwenye mitandao nakuomba asasi mbali mbal kunisaidia kwa jambo hilo na pia wanafunzi wenzangu kusaidia hilo kwa maana huyo mwalimu pale ni janga kabisa tayar amewafanyia wengine mambo hayo sana.
HOD nilipoona nae aliniambia ameona habar yangu kwenye mtandao,kwahiyo anasema hata mlengwa atakuwa ameiona.........nikamjibu mm sintojali kuwa ameona au laah coz sijamtukana mtu bali ni ukwel mtupu niliouzungumzia ktk huo mtandao.
Na iman sana na huu uongoz mpya wa chuo kuwa watafanya kitu.
Tayari pia nimewasiliana na watu wa sheria na wao pia wanasimamia hilo jambo
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwenu wote..................Mungu awabariki mno!Nahitaj ushaur wenu zaidi na kama kuna kitu nimekosea katika hizi hatua za ss pia mnikosoe.
Nashukuru kwa ushauri wenu na maombi yenu juu ya yaliyonikuta kwa huyo lecturer kama nilivyotuma katika huu mtandao wik iliyoisha.
Nilichukua maamuz ya kwenda kwa DS moja kwa moja baada yakutoka kwa HOD,Nilipoonana na DS nilieleza hali halis iliyonitokea na kuniomba nisiogope maana yeye ni baba kwahiyo niwe huru tu.Baada yakuyasikiliza hayo yote ikabidi twende nae kwa mkuu wa chuo.Aliniacha na mkuu wa chuo na nikajieleza kama nilivyofanya kwake.
Mkuu wa chuo aliniomba nimwandikie yeye barua na kuahidi kuwa lazima hilo alifanyie kazi maana kaletwa kwa ajil ya kaz hiyo maana chuo hicho kilikuwa kinanuka tabia hizo na hatamuonea mtu aya maana hakuna mtu anayemjua yeye ni mgeni.Amekiri kuwa huko chini kuna kulindana sana.
Aliomba nimuahid kama nitafanya hivyo maana mimi ndo nitawapa wao nguvu ya kuendesha hiyo kesi....!
Tayari nimeandika barua na nimetengeneza CD ya maongezi yale aliyokuwa ananiambia.
Walikuwa wanaisubiri na kuniambia kuwa walihisi labda nimenunuliwa baada yakuona nimechelewa kurudisha hiyo barua maana kati ya hao wakuu alipoonana na( mwalimu ) hakumchangamkia kama ilivyo kawaida na kuhis kuwa ameshituka au amesikia kuwa mimi nimeenda kushitaki hiyo kesi.
Nimeambiwa hizo nguo ambazo nilizozivaa siku hiyo la tukio nisizifue wala kushikwa na mtu mwingine,na tayar nimefanya hivyo.Tunasubiria maamuz ndan ya wiki hiyo ijayo lakin tayar limeanza kufika kwa wanafunz na kama litacheleweshwa bas nitataja chuo kwenye mitandao nakuomba asasi mbali mbal kunisaidia kwa jambo hilo na pia wanafunzi wenzangu kusaidia hilo kwa maana huyo mwalimu pale ni janga kabisa tayar amewafanyia wengine mambo hayo sana.
HOD nilipoona nae aliniambia ameona habar yangu kwenye mtandao,kwahiyo anasema hata mlengwa atakuwa ameiona.........nikamjibu mm sintojali kuwa ameona au laah coz sijamtukana mtu bali ni ukwel mtupu niliouzungumzia ktk huo mtandao.
Na iman sana na huu uongoz mpya wa chuo kuwa watafanya kitu.
Tayari pia nimewasiliana na watu wa sheria na wao pia wanasimamia hilo jambo
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwenu wote..................Mungu awabariki mno!Nahitaj ushaur wenu zaidi na kama kuna kitu nimekosea katika hizi hatua za ss pia mnikosoe.