Na uzoefu haviendani
ameshindwa kusema The Engineer of ships
Uchungu wa Mwana Aujua Mzazi! Wazazi kaeni mkao wa kula kwa kwakumpa jamaa kula!
View attachment 69163
eace::msela:eace:
For One to be Engineer, He/She should posses at least A Degree or Advanced Diploma in Engineering.
Je, Le Mutuz ana posses Advanced Diploma au ni Ordinary Diploma? Naomba tuanzie hapo kwanza ili tusijekuta tunampa "title" isiyomstahili.
UVCCM taifa ina mwakilishi wa wazazi? Nilikuwa sijui. Mie UVCCM, Wazazi, UWT ndoo jumuia za chama. Huu mwingiliano wa nafasi anayoomba Lemtuz ndoo nimeuona kwenye bango lake sasa hivi. Duh watu wanajua wagombee wapi ndani ya gamba
Diploma Engineer wa meli hapo tu ndo nimeipenda inaonekana amekosa kingereza chake manake kote kaeleza kwa kingereza
Si aombe kazi kwa Mwema? Kwani lazima ajira ije kwa kura? What a waste with that Masters Degree
Kwa hiyo anataka kutuambia amebobea kwenye fani ipi? Diploma fani nyingine, bachelor fani nyingine, uzamili fani nyingine mbona haeleweki.