Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
bado anakaa sebuleni kwa babake au amehama?
Hii ELIMU yake inatia shaka...!
... Walioangukia pua katika uchaguzi huo ni mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji, mbunge wa Nkenge, Assumpter Mshama, Otieno Peter Baraka, Twalhata Ally Kakurwa, Godwin Kunambi, Innocent Nsena na Richard Tambwe.
Wamo pia Anna Magowa, Christopher Mullemwah, Salehe Mhando, Fadhili Nkurlu, Tumsifu Mwasamale, William Malecela, Rashid Kakozi, Luteni Kanali, Dk. Kesi Mtambo, Nicholaus Haule na Nussura Nzowa.
le mutuz ana miaka 51 wema ana miaka 23,.51-23=28
William mbulula wa kizazi cha zamani, hana hiyo elimu, hajawahi kukaa darasani labda kama alisoma ile elimu ya Bwana Lyatonga miezi sita Shahada ya Kwanza, hahahaaaaah huyu hajiwezi , hawezi na wala hana ufahamu wa kutosha hata kuongoza watoto wa chekechea namaana kuwa IQ
le mutuz ana miaka 51 wema ana miaka 23,.51-23=28
wema kwa le mutuz ni sawa na baba na mwana
this man needs to retire from all this bullsh*t
Le mutuzi siasa haimpendi lakini yeye anaipenda sana.
Kumbe kijana nae ni police bas atusaidie kukamata mafisadiccm bwana?ukichangany hotuba ya mulugo ukirudi kwa lusinde na ukimalizia kwa kijanamzee le mutuz unachoka kabisa.
Sasa uchungu wa mwana umetoka wapi? Hizi slogans zingine bana........najua atajitetea kuwa ni kwa sababu anaomba uwakilishi wa WAZAZI lakini hii slogan in maana ndefu sana
bado anakaa sebuleni kwa babake au amehama?
Teh teh teh!CV inabadilika kulingana na wakati!Na uzoefu haviendani
Anasambaza nini makusudi?Huyu jamaa anasambaza makusudi