Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
hivi huyu babu ni mgumba?Sasa uchungu wa mwana umetoka wapi? Hizi slogans zingine bana........najua atajitetea kuwa ni kwa sababu anaomba uwakilishi wa WAZAZI lakini hii slogan in maana ndefu sana
Kwanza ameshindwa hata kupangilia mtiririko wa elimu yake hapo kwenye hiyo kadi.Ameanza na digrii ya kwanza kisha akaweka digrii ya pili na akamalizia na diploma.Na mbona vyote alivyosoma havina uhusiano na anachokiwania?Ningeshauri atusaidia kwenye uangalizi wa meli hapa kwetu Bongo kwa hiyo Diploma yake.
Kijana wa miaka 51
Diploma Engineer wa meli hapo tu ndo nimeipenda inaonekana amekosa kingereza chake manake kote kaeleza kwa kingereza
Kijana wa miaka 51
Diploma Engineer wa meli hapo tu ndo nimeipenda inaonekana amekosa kingereza chake manake kote kaeleza kwa kingereza