Lazima heshima irudi

Lazima heshima irudi

Ukishagongwa jiuwe kabisa yani hapo utakuwa umemkomesha kinoma,
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi sasa mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa jumamosi hii tumepanga kuonana , nimeapa lazima nimpe k Yule mzee ili kijana wake ashike adabu leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto no moto
Unajivua heshima yako mwenyewe yeye hana cha kupoteza, la msingi move on kwani ni yeye pekee tangu uzaliwe amaekutongoza? Naamini jibu ni hapana kama jibu ni hapana bhasi take ya luggage kaendelee na maisha mengine na mtu mwingine yawezekana akawa sahihi kuliko huyo wa awali
 
katumike tu kakomoe...kama vipi komoa zaidi uje unipe namimi....akili umenyimwa akili jiachie tu....tena piga mafotoo...ningekuwa jamaa ningekupa go ahead tu kiroho safi ugegedwe na mdingi pia
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi sasa mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa jumamosi hii tumepanga kuonana , nimeapa lazima nimpe k Yule mzee ili kijana wake ashike adabu leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto no moto
Kweli wanawake akili zenu maji, tena maji ya matopeni. Hivi nikuulize swali, huo mwili si wako? Hiyo "K" si mali yako? Sasa ukimpa baba yake hiyo "K" yako unamkomoa nani? Kwani wewe ni mwanamke wa mwisho hapa duniani na hakuna wengine? Huyo kijana aliyekuwa mpenzi wako sidhani kama atajali sana sababu atapata mwanamke mwingine wa kuishi naye na wewe pia utapata mwanaume mwingine wa kuendelea nae. Kitu kibaya tu ni kwamba utakapotuma picha za baba yake akiwa uchi, jiandae kwenda kunyea "debe"(kumbuka sheria ya makosa ya kwenye mtandao).
Eti, dawa ya moto ni moto, hivi kumbe mkiwapa watu wengine "K" zenu kwenye akili zenu mnafikiri mnawakomoa wapenzi wenu?? Sasa huyo mpenzi wako akiamua kufunga ndoa na huyo rafiki yako na wewe utafunga ndoa na baba yake? Au utaishia kumpa baba yake "K" yako aichezee tu? Kati ya wewe na huyo kijana ni nani mwenye hasara hapo???
Wanawake akili zenu bure kabisa!
 
Kisasi cha nini? Akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia.

ikifika hapo ndipo SIWAAMINI KABISA WANAWAKE na haki SAWA ZAO, Hivi tujiulize kifikra hawa watu wapo sawa kweli alafu tuwape uongozi watuongoze?. Si mnawaona waliopo madarakani Visasi visasi visasi. Mwanamke anaweza kuazimia kumkomoa/kulipa kisasi mtu mmoja hata kama itagharimu mfumo mzima wa utumishi na elimu.
hahahaaa umeeleweka sana mtumishi
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi sasa mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa jumamosi hii tumepanga kuonana , nimeapa lazima nimpe k Yule mzee ili kijana wake ashike adabu leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto no moto
Ikifika zamu ya majirani kumkomesha huyo mwehu unitaarifu nisiende kazini ili tumnyooshe mchana kutwa...
 
Mpe mzee tig.o kabisa ili kumkomoa vizuri kijana.., na atakomoka kweli.
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi sasa mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa jumamosi hii tumepanga kuonana , nimeapa lazima nimpe k Yule mzee ili kijana wake ashike adabu leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto no moto
dah,we mkali aiseee..punguza hasira mdada wangu....
 
Hapo wala hujamkomoa kama mimi nikijua hilo siku hiyo nachoma nyama na kula na faza huku tukielezana mtobo wako ulivyo.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Akili za kuambiwa ni bora uchanganye na za kwako ili ufanye maamuzi yenye BUSARA na HEKIMA kumpendeza Mungu
 
Kufanya hivo hakurudishi heshima bali kutakushushia heshima wewe,usijaribu kufanya hivo mpendwa.
 
FB_IMG_1480342972548.jpg
 
Hapo humkomoi yeye but unajikomoa wewe pole sana [HASHTAG]#Bigdada[/HASHTAG] think twice
Kwa mfano baba wa huyo jamaa akimpiga mimba
Halafu akamuacha? Hapo atakuwa amemkomoa nani? Kwa akili zake ataenda kutoa mimba, baada ya kutoa mimba, unagundua umetoa na kizazi. Cha kushangaza baadae anaanza kumlaumu Mungu.
Maamuzi mengine, kabla ya kuyafanya inabid ujifikirie kwanza.
 
Back
Top Bottom