Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam

Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam

Mkuu ukitaka kumwua nyoka piga kichwani sio mkiani? RPC na IGP wote ni mikia tu. Labda ushauri waache kazi japo hawa kujiuzuru ni sawa na machweo ya jua kuwa magharibi.
 
Kwa tuliopewa elimu kdgo yautambuz wa tabia za watu kupitia sura zao wanapozungumza..ukimuangalia siro usoni anapozungumza u see the kindness in him pamoja na sura ake ngumu,,..anaonekana ana huruma na utu ndani yake except kuna vitu sometimes inaoneka analazmika tu kusema au kufanya for his position,,..but kwa mambosasa mmmmmh!!..
 
Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .

Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.

Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .

Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.

Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .
Hakuna igp wa dsm labda rpc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Hivi mnasubiri nini kumng'oa huyu jamaa ?
 
Ndugu Wananchi Wenzangu leo ni takribani miaka miwili sasa imepita tangu kutokea kwa tukio hilo; hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na serikali kwa wahusika, Kamanda Kamhanda bado yuko mtaani kana kwamba hakufanya chochote tena alipandishwa na cheo kabisa baada ya tukio lile. Askari aliyefunguliwa kesi ambaye hatumfahamu na hatawahi kuonekana na wananchi hatujui hata kesi yake hiyo imeishia wapi tayari yameshafunika kombe mwanaharamu apite kama walivyosema Wahenga wetu.

Dr.Wilbrod Slaa
Katibu Mkuu 02/09/2014
WENZIO WAMEPANDISHWA VYEO , wewe UNASEMA WANAJISIKIAJE ?
Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .
Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.
Just look at yuh!
Yaani wewe Erythrocyte ni boksi
 
Back
Top Bottom