Hatujawahi kubahatisha mkuu , hongera sana jfMkuu IGP amekusikia kuna watu hasa Lumumba walikubeza sana na matusi juu.
kishang'olewaAkiondolewa Mbowe akaimu hiyo nafasi...
I wish I could be IGP
Na wengi ndio hao wapo nafasi za juu, mpaka kizazi hiki kipite labda ndio tunaweza kuwa na jeshi zuri la polisiSiku za nyuma kuna walioukwaa upolisi kutokana na kimo chao tu hata kama hawajui chochote .
Unajiquote mwenyewe mzee Baba na kujipa kongoli.Wewe kijana nimetambua kwamba umekuwa msaada sana kwa nchi , Mungu akulinde .
JARIBU UONE AWAMU HII HATUTAKI UJINGA UJINGA
Nakala imfikie Yerricko NyerereEti hata jiwe alishangaa kumuona anakunywa Chai na MO asubuhi asubuhi. Teheteheee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna igp wa dsm labda rpcHuu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .
Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.
Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .
Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.
Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .
nisome tena uelewe mjomba
Ndugu Wananchi Wenzangu leo ni takribani miaka miwili sasa imepita tangu kutokea kwa tukio hilo; hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na serikali kwa wahusika, Kamanda Kamhanda bado yuko mtaani kana kwamba hakufanya chochote tena alipandishwa na cheo kabisa baada ya tukio lile. Askari aliyefunguliwa kesi ambaye hatumfahamu na hatawahi kuonekana na wananchi hatujui hata kesi yake hiyo imeishia wapi tayari yameshafunika kombe mwanaharamu apite kama walivyosema Wahenga wetu.
Dr.Wilbrod Slaa
Katibu Mkuu 02/09/2014
WENZIO WAMEPANDISHWA VYEO , wewe UNASEMA WANAJISIKIAJE ?
Just look at yuh!Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .
Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.
karibu tena kijanaJust look at yuh!
Yaani wewe Erythrocyte ni boksi