Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam

Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam

Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .

Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.

Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .

Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.

Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .

View attachment 1038340

Unaandika kiupinzani gani.. mihemuko ya hasira kukujaaa.. lalamikia wananchi ambao ndio wameamua..

Ati IGP wa Dar.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia acha kubebwa mazima na viongozi wenu.. waropokajiiii.. na wannachi wamewasomesha nambaaa..

Pokea salamu 💛💚💛💚💛
 
Unaandika kiupinzani gani.. mihemuko ya hasira kukujaaa.. lalamikia wananchi ambao ndio wameamua..

Ati IGP wa Dar.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia acha kubebwa mazima na viongozi wenu.. waropokajiiii.. na wannachi wamewasomesha nambaaa..

Pokea salamu 💛💚💛💚💛
Tangu lini Mahera aliwakilisha wananchi ?
 
Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .

Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.

Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .

Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.

Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .

View attachment 1038340
Igp wa Dsm? Chadema mna vituko sana.
 
IGP si kila maoni ya wapinzani hayafai ? sitakushauri tena
 
Mambosasa ni alama ya uovu. Sio kwamba hastahili kuwepo Dar bali hafai kuwa kiongozi wa taasisi yoyote. Huyu na Bashite, ndiyo chanzo cha maovu mengi. Na baadhi ya mambo yamewafanya watu wamchukie Magufuli ni kwa sababu ya hawa watu wawili.
 
Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .

Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.

Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .

Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.

Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .

View attachment 1038340
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom