Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam

Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam

Wewe unasema aondolewe ukamanda wa Jijini Dar??

Usije shangaa akaukwaa u-IGP!

Umesahau yaliyotokea kule Arumeru?

Ambako mkuu wa wilaya ile Alexander Mnyeti alipandishwa cheo na kuwa RC wa Manyara, licha ya clip za kina Nassari zilizomuonyesha mkuu huyo wa wilaya "akiwahonga" madiwani wa Chadema!

Hii ndiyo staili mpya ya Utendaji kazi ya wateule wa Rais, mfurahishe Bosi upande cheo!
Sirro akimuacha huyu atatoka yeye
 
Kumbe IGP hana uwezo wa kuhamisha baadhi ya ma RPC , imedhihirika kwa Mambosasa
 
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .

Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.

Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .

Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.

Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .

View attachment 1038340
Amekiuka GPO kwa sababu za kisiasa ni wakutimuliwa outright.
 
Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .

Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.

Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .

Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.

Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .

View attachment 1038340
yes si kila polisi anawez kuwa kamanda wa dar
 
yes si kila polisi anawez kuwa kamanda wa dar
Taarifa zinaonyesha kwamba Mambosasa ndio RPC duni kabisa kuwahi kuhudumia DSM , hata polisi wadogo wanamshangaa na taarifa zinadokeza kwamba wanamdharau vibaya sana !
 
Mkuu hiyo taarifa yako unahisi itakuooza machungu uliyonayo??? [emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mkuu
 
Huu ni wito ambao naupeleka kwa IGP Sirro .

Anayotenda RPC Mambosasa DSM hayana tofauti na aliyotenda Aliyekuwa RPC wa Iringa aliyeitwa Michael Kamuhanda , huyu alisimamia kikamilifu mauaji ya mwandishi wa Channel 10 marehemu Mwangosi , Na kwa kutumia busara ya hali ya juu IGP wa wakati ule bila ya kuchelewa alimng'oa Kamuhanda na kumpeleka Makao Makuu.

Kila mwenye macho amejionea mwenyewe kauli ya jeshi la polisi kukiri kuhusika na mauaji ya mwanafunzi wa NIT , haya ni miongoni mwa mauaji ya kishamba sana kuwahi kufanywa na jeshi la polisi , yaliojaa uzembe wa kiwango kisichopimika , ni mauaji ambayo hata jambazi bwege hawezi kuyafanya .

Ni wakati sasa wa IGP kumpeleka Mambosasa Makao Makuu ili kurudisha amani jijini DSM , ambayo imetoweka moja kwa moja tangu kuingia kwa Mambosasa.

Angalizo - Si kila polisi anaweza kuwa IGP wa DSM .

View attachment 1038340
Kawapiga vice vizuri hadi mnaomba po! Khe khe khe khe eeeeeeee
 
Kumbe ukicheza sinema, huwezi kuja kuwa muimba kwaya. Lazima utarudi kwenye roots
 
Back
Top Bottom