Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Mkuu unashindwa kunielewa kwa sababu pamoja na disseminations zako zilizoenda shule, biashara kitu ingine kabisa, na kama unafanya biashara na una leseni basi you might get some insight as to what I am talking about.
Unamaanisha nini unaposema "disseminations zako zilizoenda shule"?