Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

Mashirika ya Jiji ni Labor intensive ili ipatie Ajira wengi kuondoa Unemployment, hapo ndio tuna capitalize kila kitu
Kama Chuo Kikuu, eneo lote hilo la Mjani watu walikuwa wanafyeka na mafyekeo sasa wakiprivatize ni watu 4 wanalimaliza eneo hilo kuwa na matrekta ya kukata Majani na Wafanyakazi Wafyekaji 200 kazi hakuna

Hapo Mmeua na kumaliza Siasa ya Ujamaa na kujitegemea; Mjue wapi kwa kupeleka watu wa Elimu ndogo Msichekelee
Unatisha Mkuu! Ili kulinda Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea na kupata ajira kwa wingi, tuendelee kulima kwa jembe la mkono, tukate majani kwa panga, tuzoe taka kwa toroli, tuchote maji kwa mzegazega.....
"Pesa ni matokeo, si msingi wa maendeleo." [Nyerere]
"Msongamano wa magari (mabovu) ni kiashiria cha maendeleo" [JK]
"Ukosefu wa maji ya bomba umetoa ajira nyingi kwa vijana wetu" [Karume mwana]

Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka.
 
Go Lau Go, That is the way to go. Usisikilize vimeo vya hapa JF. Ukiachana na siasa fanya shughuli mbadala na unachokifanya kianongeza thamani na kuboresha maisha ya Mtanzania. Fanya mazuri na natumaini kama kila sehemu Tanzania kungekuwa na wabunifu kama wewe, Tanzania ingekuwa sehemu bora zaidi. Hawa wanaokuponda hapa JF wengine wamezungukwa na mitaro ya maji taka ambayo inavuja hawadiriki kufanya chochote na wanasubiri serikali iwasafishie.

Bravo
 
Unatisha Mkuu! Ili kulinda Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea na kupata ajira kwa wingi, tuendelee kulima kwa jembe la mkono, tukate majani kwa panga, tuzoe taka kwa toroli, tuchote maji kwa mzegazega.....
"Pesa ni matokeo, si msingi wa maendeleo." [Nyerere]
"Msongamano wa magari (mabovu) ni kiashiria cha maendeleo" [JK]
"Ukosefu wa maji ya bomba umetoa ajira nyingi kwa vijana wetu" [Karume mwana]

Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka.

Oh yeah Pesa sio Matokea kwa Mabepari Uchwara waliokuja baada ya Azimio la Zanzibar

Angalia China, Mabepari wake ndio hao Nyerere aliokuwa anawaongelea

Sio waliokuja kwa mkumbo baada ya Azimio la Arusha kuvunja wakaoni ni wakati wao wa kugombea Ubunge
Sio Mmoja tu ni wengi tu... Hao Hawajali Uchungu wa Nchi. Subiri Siku Moja utaniambia

Kwa kifupi ninamjua sana toka zamani... Namfuatila sana... Utajua kweli hii ndio Tanzania tunayoitaka
 
Masha anaweza kuthibitisha kwamba kapata hii biashara bila ya kutumia influence yake ya "Waziri wa zamani" ?

Hii kazi inaendaje? Analipwa na nani? Ilitakiwa kutangazwa tenda? Kama ilitakiwa ilitangazwa?

Watanzania huwa mnashangaza sana.
Hivi baada ya uwaziri ulitegemea angefanya nini?

Kuna watu wasio na roho njema wanapata faraja sana wakiona mwanasiasa aliyeenguliwa akipata taabu ya kimaisha, kama mwelekeo wa hii posti.
Hiyo ni roho mbaya na kupenda mabaya yamfike mtu usiye kubaliana naye.

Kwa hakika unachoulizia juu ya wateja wa Masha ni kile kinaitwa Trade Secrets- siri za biashara. Humwagi mchele mbele ya washindani ili na wewe uache JF na kwenda kuzoa taka.
Hii posti ni dalili tosha kuwa mtoa posti hana idea na biashara.
Mfano mzuri sana Masha.
 
Watanzania wengi tumefikia kiongozi wa umma akishajenga nyumba tu ni fisadi. Kama alishashika madaraka fulani serikalini mafanikio yo yote watamwona ametumia mlango wa nyuma kufanikisha. Jamani, tuwe na upeo wa kuchambua. Sijaona lalamiko lo lote kwa ye yote ambaye anasema alinyimwa tenda na Masha kapewa. Tenda hizi hutangazwa, na mwenye kufikia vigezo atapata. Sisi tunataka mwenye tengo ndiye apate tenda ya kufyeka barabara na mwenye trekta la eat grass anyimwe tena, matokea mwaka mzima anafyeka km 10 wakati ana tenda ya kufyaka km 200, hapo ndio waswahili tumezoea.

Kwa nini unamtetea masha kiasi hicho? Je, na wewe ni mmoja wao mafisadi?
 
Takataka is big business!!!!

Mkuu watu hawajui kuwa kazi zinadhaulika ndizo zinazilopa !!! Tena kazi yenyewe inatolewa kwa Tenda !!! Halafu hizo taka Masha hazoi yeye ni Kampuni ambayo ina wasimamizi. Michakato ya kulipa Tenda ni ile ile ambayo mtu anaweza kuwa hajafanya kazi ya kuridhisha lakini akalipwa 100 % - 10% na kulipa wafanyakazi 0.000001% !!!! Ukiona magorofu yananyanyuka kule Mbezi, unashangaa na kuuliza hivi watu wanatoa wapi pesa !!!! Acha kudharau kazi za watu, hakuna mtu anayeweza kufanya kazi ambayo haimlipi !!!
 
Watanzania huwa mnashangaza sana.
Hivi baada ya uwaziri ulitegemea angefanya nini?

Swali hapa si anachokifanya, bali, anavyokifanya. Tunaangalia kama hili deal limefanywa bila mushkeli. Ushaelewa issue?

Kuna watu wasio na roho njema wanapata faraja sana wakiona mwanasiasa aliyeenguliwa akipata taabu ya kimaisha, kama mwelekeo wa hii posti.

Ukiwa mzinzi uta project uzinzi wako kwa kitakachopitia macho yako. Ukiwa na roho mbaya, hata mtu anayesimamia standards utamuona anafanya hivyo kwa sababu ya roho mbaya. Huna exposure ya kuelewa core principles za fre trade zinasemaje.Hujui "oligopoly" ni nini. Huelewi kwa nini Wa Rusi wanaandamana kuipinga oligarchy ya Vladimir Putin na wenzake. Hata sie tukiwa tunaelekea huko huko pole pole utashangilia tu. Halafu kesho utarudi hapahapa kupinga ufisadi.

Mie siwezi kupinga ufisadi superficially halafu ikija nafasi ya kuuliza some core principles za free trade (transparency, open tenders etc) unasema roho mbaya. Kitu kibaya ninachokiona hapa ni exposure ndogo ya watu kuhusu free trade na precepts zake.

Hiyo ni roho mbaya na kupenda mabaya yamfike mtu usiye kubaliana naye.

Kwanza sijasema nakubaliana au sikubaliani na Masha. My issue is solely about making sure that standards are followed. Nimesema hapo juu napenda viongozi wanaojua biashara, lakini hili halimaanishi hata wakijikwapulia biashara bila kufuata sheria tukubali tu. Si tumemsema sana Mkapa na Kiwira hapa? Mimi nataka kuhakikishiwa tu kwamba hii biashara si a mini-Kiwira for a mini-Mkapa. What's wrong with that? Nataka uthibitisho tu kwamba mambo yameenda sawa, hata sija mu accuse kwamba kafanya vibaya, ni swala la due diligence tu.Kwamba kabla hatujaanza kumsifia Masha, tujue kwamba anafaa kusifiwa.

But I am sure some of y'all hata due diligence hamjui ni nini, by the looks of your posts at least I am justified to say so.

Kwa hakika unachoulizia juu ya wateja wa Masha ni kile kinaitwa Trade Secrets- siri za biashara. Humwagi mchele mbele ya washindani ili na wewe uache JF na kwenda kuzoa taka.

Trade secrets zinahusika na jinsi gani unafanya kazi yako, mitambo unayotumia, client list, etc.

Mimi nauliza biashara ilivyopatikana.Ilitakiwa kuwa na open tender, ilitakiwa kuwa na open and fair competition to all.Hakuna trade secret katika kuniambia ndiyo, tender ilitangazwa, kampuni fulani na fulani zilishindania, Masha hakutumia influence peddling na kwa kweli ndiye aliyeibuka mshindi kihalali, nikiridhika sitakawia kumsifu.

Lakini hatujajua hata kama tender ilikuwapo? Kwamba inawezekana Masha kapewa biashara mezani bila ya tender kushindaniwa? Unataka nione huyu ni enterpreneur? Huyu ni robber baron tu, kitu ambacho wenzetu wanakip[iga vita kila siku.

Hii posti ni dalili tosha kuwa mtoa posti hana idea na biashara.
Mfano mzuri sana Masha.

Biashara gani unayoongelea wewe? Biashara ya kinamama kuuza vitafunio Maandazi Road?

Unafahamu rules of free trade? Unafahamu free market ni nini? Unafahamu oligopoly ni nini? Unafahamu fair access to market ni nini? Unafahamu role of competition in free trade ni nini? Unafahamu influence peddling ni nini? Unafahamu open tender ni nini?
 
Go Lau Go, That is the way to go. Usisikilize vimeo vya hapa JF. Ukiachana na siasa fanya shughuli mbadala na unachokifanya kianongeza thamani na kuboresha maisha ya Mtanzania. Fanya mazuri na natumaini kama kila sehemu Tanzania kungekuwa na wabunifu kama wewe, Tanzania ingekuwa sehemu bora zaidi. Hawa wanaokuponda hapa JF wengine wamezungukwa na mitaro ya maji taka ambayo inavuja hawadiriki kufanya chochote na wanasubiri serikali iwasafishie.

Bravo

Kuna commentator mmoja alikuwa anaongelea matatizo ya ufisadi Nigeria.

Akasema, moja ya matatizo makubwa ni kwamba wananchi wa kawaida hawataki kukemea na kupigana dhidi ya rushwa na kuziba mianya ya rushwa.

Hawa ni wananchi wa kawaida tu, ambao hawana hata access na position ya kufaidika sana na rushwa.

Rationale yao ni kwamba, waacheni wakubwa wale, msiwazibie, labda siku moja na mimi naweza kuwa mkubwa nikala, sasa tukiwazibia leo, mie ikifika zamu yangu nitakula vipi?

Whether consciously or subconsciously I think this mentality is active in bongo. Msisumbue sumbue sana "wakubwa". Msiwasemeseme. Ukiuliza maswali relevant tu, una chuki binafsi. Mie nakula USD kwa kazi zangu on that famous kindergarten between the river and the graveyard, chuki na mtu nisiyemjua niitoe wapi wakati na happy tu kila siku?

Either that or people do not know even the basics of a tendering process.

Otherwise nimweleweje mtu anayetetea deal ambalo hata hatujui kama limepita kwa a fair and square process?

Ukiulizia unaambiwa "chuki" wakati dunia yote watu wanaojua biashara wanajua usipokuwa na an open tendering process unaalika rushwa na influence peddling, kwa sababu watu wanafanya madudu hata kwenye hizo open tender - to a less degree-, sembuse usipokuwa na tender kabisa.

Kuna maswali muhimu hayajajibiwa.

Moja ya matatizo yetu makubwa kabisa kama nchi ni hili la kuridhika kirahisi na kukubali kirahisi.

Ndio maana watu masikini kabisa lakini wanaendelea kumpigia kura mbunge yule yule wa chama kile kile miaka nenda miaka rudi.

Moja ya sababu sisi ni masikini ni hii ya kukosa criticality, ukileta critical review unaambiwa una chuki. Ukiwa against the fray unaonekana mtu wa ajabu.Tunataka convention, mtu akianzisha chorus ya "Masha is a good enterpreneur" wengine tujibu "aye aye sir" bila hata kujua kama jambazi au mfanyabiashara kweli.

No sir, mtakubaliana wenyewe huko. Wengine tunataka ushahidi zaidi.
 
Waste management ni biashara nzuri tu na kwa mnaoijua kampuni ya Waste Management, Inc. basi mtakuwa na idea walau ni jinsi gani hii shughuli ilivyo nzuri.
 
You guys have failed to understand Lau... he is a great success businesswise

Kampuni yake ni kubwa, bado ni lawyer (sio ganga njaa), na majibu aliokua akitoa kama ulimsikiliza vyema alikua anakebehi wauliza maswali zaidi ya kuweka vitu wazi

Ati anatoka na chupa ya chai home kwenda kushinda rose garden hadi usiku mnene!!

He is way too ahead of the game

kazi kwenu

Poor Tanzania. You are calling Masha a great success businesswise, have you forgotten where he got the seed money??
 
Let's discuss issues and not people.

Masha kukusanya taka from kuwa waziri ni immaterial, he is a lawyer (An Advocate of the High Court and courts subordinate thereto save for Primary Court)...Just for the record.

Being an ex member of the Parliament does not disqualify him from doing other works, let him struggle for his life.

Anavyozoa taka taka huko mjini huwa anatukana watu? Anaiba mali za watu? Jibu ni hapana. Anavyoshinda Rose garden, anaomba beer kwa watu? jibu ni hapana, haombi ombi beer, that means maisha yake yanaendelea kama ilivyokua zamani.

Fact kuwa anazoa taka taka, any1 can do that,na havunji sheria za nchi, anazoa Yes, na nimesikia kaleta magari ya kisasa, mtu akifanya jambo zuri tusimkosoe, panapofaa sifa tumpe. Au mlipenda msikie kuwa sasa hivi hali yake ni mbaya kiuchumi ili muanze kusema kuwa kafulia? Wonders will never seize to amaze!!!!!

Kwa hiyo tuache majungu, tuongee vitu vya maana.

Swala la uwazi wa hili deal halijajibiwa.ilihitajika tenda? Kama ndiyo, ilikuwepo? Hakukuwa na influence peddling? This has been a trend in our country, business is done by political connections rather than the rules of free trade, we don't want to turn a blind eye to this threat.
 
Poor Tanzania. You are calling Masha a great success businesswise, have you forgotten where he got the seed money??

Hahaha, kumbe kuna utata kuhusu seed money mwanawane? Weka live basi tujue wote.
 
Masha kukusanya taka from kuwa waziri ni immaterial, he is a lawyer (An Advocate of the High Court and courts subordinate thereto save for Primary Court)...Just for the record.

Hawa ma-lawyer si ndiyo tunaambiwa wanajua sana Kiingereza...? Sasa iweje huyu jamaa anukuliwe akisema "there's a lot of works"?

Or that was just a slip of the tongue?
 
Swali hapa si anachokifanya, bali, anavyokifanya. Tunaangalia kama hili deal limefanywa bila mushkeli. Ushaelewa issue?



Ukiwa mzinzi uta project uzinzi wako kwa kitakachopitia macho yako. Ukiwa na roho mbaya, hata mtu anayesimamia standards utamuona anafanya hivyo kwa sababu ya roho mbaya. Huna exposure ya kuelewa core principles za fre trade zinasemaje.Hujui "oligopoly" ni nini. Huelewi kwa nini Wa Rusi wanaandamana kuipinga oligarchy ya Vladimir Putin na wenzake. Hata sie tukiwa tunaelekea huko huko pole pole utashangilia tu. Halafu kesho utarudi hapahapa kupinga ufisadi.

Mie siwezi kupinga ufisadi superficially halafu ikija nafasi ya kuuliza some core principles za free trade (transparency, open tenders etc) unasema roho mbaya. Kitu kibaya ninachokiona hapa ni exposure ndogo ya watu kuhusu free trade na precepts zake.



Kwanza sijasema nakubaliana au sikubaliani na Masha. My issue is solely about making sure that standards are followed. Nimesema hapo juu napenda viongozi wanaojua biashara, lakini hili halimaanishi hata wakijikwapulia biashara bila kufuata sheria tukubali tu. Si tumemsema sana Mkapa na Kiwira hapa? Mimi nataka kuhakikishiwa tu kwamba hii biashara si a mini-Kiwira for a mini-Mkapa. What's wrong with that? Nataka uthibitisho tu kwamba mambo yameenda sawa, hata sija mu accuse kwamba kafanya vibaya, ni swala la due diligence tu.Kwamba kabla hatujaanza kumsifia Masha, tujue kwamba anafaa kusifiwa.

But I am sure some of y'all hata due diligence hamjui ni nini, by the looks of your posts at least I am justified to say so.



Trade secrets zinahusika na jinsi gani unafanya kazi yako, mitambo unayotumia, client list, etc.

Mimi nauliza biashara ilivyopatikana.Ilitakiwa kuwa na open tender, ilitakiwa kuwa na open and fair competition to all.Hakuna trade secret katika kuniambia ndiyo, tender ilitangazwa, kampuni fulani na fulani zilishindania, Masha hakutumia influence peddling na kwa kweli ndiye aliyeibuka mshindi kihalali, nikiridhika sitakawia kumsifu.

Lakini hatujajua hata kama tender ilikuwapo? Kwamba inawezekana Masha kapewa biashara mezani bila ya tender kushindaniwa? Unataka nione huyu ni enterpreneur? Huyu ni robber baron tu, kitu ambacho wenzetu wanakip[iga vita kila siku.



Biashara gani unayoongelea wewe? Biashara ya kinamama kuuza vitafunio Maandazi Road?

Unafahamu rules of free trade? Unafahamu free market ni nini? Unafahamu oligopoly ni nini? Unafahamu fair access to market ni nini? Unafahamu role of competition in free trade ni nini? Unafahamu influence peddling ni nini? Unafahamu open tender ni nini?

Kiranga, niseme nini kingine mimi sangarara.
 
Waste management ni biashara nzuri tu na kwa mnaoijua kampuni ya Waste Management, Inc. basi mtakuwa na idea walau ni jinsi gani hii shughuli ilivyo nzuri.

Hapa some comments utafikiri kuna simpletons wanafikiri Masha anazama kwenye majalala anaokota takataka kwa mikono bila gloves, halafu analipwa thumni kwa kila pipa.

Hizi habari za kujifanya uungwana usio na tija ndizo zinazokosesha watu deals. tai shingoni, njaa tumboni.

Mie sina beef na ukweli kwamba kazi anayofanya ni nzuri. Hata kama isingekuwa nzuri, social statement tu ya mtu anayesafisha mji ni kazi ya heshima. Ndiyo maana mie hata vile vibibi vya City vilivyokuwa vinafagia barabara bila gear nilikuwa naona wanafanya kazi ya heshima sana iliyotusetiri.

Lakini watetezi wa Masha bado hawajaweza kutupa imani kwamba hakuna some oligarchy moves zilizotembea ku secure deal.

Yaani Masha is on the brink of being exemplary, except for this one troubling aspect which remains murky.

Kama yeye ni msafisha takataka kweli akiweza kusafisha na hili atakuwa kacheza.
 
Poor Tanzania. You are calling Masha a great success businesswise, have you forgotten where he got the seed money??

thanks, nijuavyo mimi jamaa alifanikiwa.... sasa mengine naomba unijuze ili nielimike
 
Back
Top Bottom