Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

Ahsante kwa kuthibitisha bila shaka niliyoyasema hapo awali.

Wewe usha give up, unaona wachilia mbali kufanya vitu on the ground, hata kuulizia mambo hapa JF kubadili fikra tu- fikra, mwanzo wa yote- hakuna maana.

Umethibitisha nilichosema awali.
Business seldom embraces abrupt changes.
It thrives on hard proven facts and practice.
Fanya mabadil yasiyoeleweka na utapata capital flight , that is for sure.
Pesa haipendi kupotea katika majaribio ya fikra.
 
Mmzarau mwiba mguu huota tende, we unauona mradi wa taka kwenye hlmashauri tena za dar es salaam ni wa kitoto, shauri yako. the guy is making millions
Leo nimemsikia aliepata kuwa waziri wa Mambo ya ndani Lawrence Masha akihojiwa na EATV akasema anafanya kazi ya kukusanya/kusomba taka toka ktk makazi ya watu, alikana kuwa alikuwa anafanyia kazi zake ROSE GARDEN ila alikubali kuna wakati alikuwa anashinda pale na akasema alikuwa anaenda pale na chupa yake ya chai anakaa hadi usiku mnene.
Lakini pia kuna tetesi toka Mwanza kuwa alikuwa akienda club anasindikizwa na Defender mbili za polisi na zinalinda club mpaka atakapoondoka, bado ana ndoto za kutumikia umma kama watu watamuomba.

My take: Sikio la kufa...
 
Business seldom embraces abrupt changes.
It thrives on hard proven facts and practice.
Fanya mabadil yasiyoeleweka na utapata capital flight , that is for sure.
Pesa haipendi kupotea katika majaribio ya fikra.

Mazungumzo yanayolenga kubadili fikra za kusifia sifia vitu bila kuvielewa vizuri hapa JF ni abrupt changes?

If that is your idea of abrupt changes, sijui gradual change itakuwaje!
 
Hakuna cha kuzoa taka hapo, lilikuwa jibu la kejeli kwa wana-habari. Bado yuko vizuri na ishu zake zinasonga mbele
 
Mradi aliobuni Masha ni mradi wa kupigiwa mfano, lakini ni ngumu kwa mtu kama mimi kumpongeza mwizi, ni sawa na Rostam Aziz ni mfanyabiashara mwenye mafanikio lakini ameshiri kuiba pesa nyingi za umma, na hapo ndipo anapopoteza credibility ya kusifiwa hata kama kuna jambo zuri.
Hivi huyu Masha kwenye wizi wa Deep Green Finance hausiki?
 
Mazungumzo yanayolenga kubadili fikra za kusifia sifia vitu bila kuvielewa vizuri hapa JF ni abrupt changes?

If that is your idea of abrupt changes, sijui gradual change itakuwaje!
I am not sure if we are in the same wave length!
 
Mradi aliobuni Masha ni mradi wa kupigiwa mfano, lakini ni ngumu kwa mtu kama mimi kumpongeza mwizi, ni sawa na Rostam Aziz ni mfanyabiashara mwenye mafanikio lakini ameshiri kuiba pesa nyingi za umma, na hapo ndipo anapopoteza credibility ya kusifiwa hata kama kuna jambo zuri.
Hivi huyu Masha kwenye wizi wa Deep Green Finance hausiki?
kama huna akili ya kutosha kumkamata mwizi, wewe vuta shuka ulale na uridhike kuibiwa.
Otherwise mtu huyo is proving to be smarter than any of your resourceful outlays.
 
I agree to differ
Amini usiamini yupo jamaa kaanza kufuatilia hii issue ya taka takribani miaka miwili sasa. na hiyo manispaa ya dar-es-salaam sijui or whatever they call themselves walikuwa hawana lolote kuhusu mbinu za kisasa. jamaa kawaandikia namna za kufanya kazi na kila siku wanakuja na maswali mapya anawajibu. Last i heard alikuwa anategemea mbivu leo tena huyu pimbi katokea wapi. Anyway this is not the first he's lost a good idea in Tanzania. Nakuhakikishia hapo kuna plans za skips na incinerators watch that space.
 
Amini usiamini yupo jamaa kaanza kufuatilia hii issue ya taka takribani miaka miwili sasa. na hiyo manispaa ya dar-es-salaam sijui or whatever they call themselves walikuwa hawana lolote kuhusu mbinu za kisasa. jamaa kawaandikia namna za kufanya kazi na kila siku wanakuja na maswali mapya anawajibu. Last i heard alikuwa anategemea mbivu leo tena huyu pimbi katokea wapi. Anyway this is not the first he's lost a good idea in Tanzania. Nakuhakikishia hapo kuna plans za skips na incinerators watch that space.

Mwambie huyo jamaa yako next time akiwa na idea ya biashara achukue chupa ya chai na kuhamia Rode Garden! Cardinal rule kwa biashara bongo!
 
Mwambie huyo jamaa yako next time akiwa na idea ya biashara achukue chupa ya chai na kuhamia Rode Garden! Cardinal rule kwa biashara bongo!
unajuaje kama alikuwa anaandika idea zake au anasoma za wenzake na kuzirekebisha au umeshachukua at first maneno ya watu kwenye hii thread (typical tanzanian).

Hivi unaweza kwenda kustimulate brain kwenye kilabu cha pombe kweli hata kama una chupa ya chai (that is if kama ndani kuna chai). Anyway nasikia yupo long tu huko kwenye taka hila kwenye kuzoa tu, jamaa wapo kwenye kutoa gesi (recycling) hila sasa kidogo moto (response sio nzuri) imepungua.
 
unajuaje kama alikuwa anaandika idea zake au anasoma za wenzake na kuzirekebisha au umeshachukua at first maneno ya watu kwenye hii thread (typical tanzanian).

Hivi unaweza kwenda kustimulate brain kwenye kilabu cha pombe kweli hata kama una chupa ya chai (that is if kama ndani kuna chai). Anyway nasikia yupo long tu huko kwenye taka hila kwenye kuzoa tu, jamaa wapo kwenye kutoa gesi (recycling) hila sasa kidogo moto (response sio nzuri) imepungua.

Yes, you can - Masha's style. Soma vizuri bwana mdogo alivyokuwa anafanya kazi zake rose garden na chupa ya chai! Whatever that means!
 
Sadly, we have diverted the thread, mleta mada kasema sikio la kufa......... hajui asemacho!!
 
Kuokota taka means WASTE MANAGEMENT. kazi nzuri yenye pesa

First time naingia kiwanja, nikakutana na dada mmoja mnyamwezi, katika kumdodosa small talk - tulikuwa stuck in an awkward position ambayo small talk muhimu, siyo kwamba nilikuwa namtokea wala nini- nikamuuliza, wewe una goals gani? Unataka kufanya nini baada ya kazi hii sorta dead end?

Basi mie nina mentality zile zile za "lawyer and doctor". Mdada akaniambia anataka kufanya kazi katika Waste Management, and not in those refined terms. Nikamuangalia mara mbili kutafuta any hint of sarcasm, lakini nikaona yuko serious kabisa.

Akanielewesha vizuri kabisa kwamba she has a passion for preserving the environment, she sees waste management as the perfect career kwake yeye kufanya kitu ambacho kitam satisfy intellectually/emotionally etc na at the same time ata make good money.

Huku nimetoka bongo mjomba alitaka kuwa accountant partly kwa sababu hakutaka kufanya kazi itakayomchafua.

The dichotomy in the thought process can be staggering.

Basi mwenyewe
 
Kwa nini unamtetea masha kiasi hicho? Je, na wewe ni mmoja wao mafisadi?

Sijasikia ufisadi wa Masha katika pitapita zangu. Alikuwa kiongozi na mbunge kama wengi walivyo ambaye hakuwa na misukosuko kama ya akina vijisenti. Kushindwa ubunge Nyamagana si hoja ya ufisadi ila sera kwa wananchi. Kushindwa kuingia mjengoni Dodoma si kushindwa maisha, kama mwenyewe alivyosema sasa anajisikia ana nafasi ya kuitunza familia yake na pesa kuingia mfukoni kuliko alipokuwa mbunge.

Kutokana na upe wetu wa kupata bure na kuuza kura kwa wagombea, kila aliyeingia mjengoni hujisikia anasakamwa na wapiga kura wake kupata cho chote jambo linalofanya wabunge wadai ziada wawapo vikaoni. Huu ni ugonjwa mbaya, njaa ndiyo inayotuumbua na kuwaumbua wabunge. Tunawanyooshea vidole wabunge kumbe ni sisi wenyewe ndio tunaosababisha wadai zaidi. Tukishakuwa na mbunge tunataka chakula restaurant atununulie bure, bia bure, vinywaji bure na pengine hata nguo bure, ukishindwa kulipa rent unaenda kwa mbunge akumegee ukalipe. Akina dada kujipitisha kwa waheshimiwa hawa kuwasalimia eti hawana ada ya chuo au pesa ya mkopo imechelewa mheshimwa nisaidia, hayo ndiyo yawapatayo wabunge.
 
Back
Top Bottom