Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
tehe teheh!
thanks, nijuavyo mimi jamaa alifanikiwa.... sasa mengine naomba unijuze ili nielimike
Hawa ma-lawyer si ndiyo tunaambiwa wanajua sana Kiingereza...? Sasa iweje huyu jamaa anukuliwe akisema "there's a lot of works"?
Or that was just a slip of the tongue?
tehe teheh!
thanks, nijuavyo mimi jamaa alifanikiwa.... sasa mengine naomba unijuze ili nielimike
Hapa some comments utafikiri kuna simpletons wanafikiri Masha anazama kwenye majalala anaokota takataka kwa mikono bila gloves, halafu analipwa thumni kwa kila pipa.
Hizi habari za kujifanya uungwana usio na tija ndizo zinazokosesha watu deals. tai shingoni, njaa tumboni.
Mie sina beef na ukweli kwamba kazi anayofanya ni nzuri. Hata kama isingekuwa nzuri, social statement tu ya mtu anayesafisha mji ni kazi ya heshima. Ndiyo maana mie hata vile vibibi vya City vilivyokuwa vinafagia barabara bila gear nilikuwa naona wanafanya kazi ya heshima sana iliyotusetiri.
Lakini watetezi wa Masha bado hawajaweza kutupa imani kwamba hakuna some oligarchy moves zilizotembea ku secure deal.
Yaani Masha is on the brink of being exemplary, except for this one troubling aspect which remains murky.
Kama yeye ni msafisha takataka kweli akiweza kusafisha na hili atakuwa kacheza.
Swali hapa si anachokifanya, bali, anavyokifanya. Tunaangalia kama hili deal limefanywa bila mushkeli. Ushaelewa issue?
Ukiwa mzinzi uta project uzinzi wako kwa kitakachopitia macho yako. Ukiwa na roho mbaya, hata mtu anayesimamia standards utamuona anafanya hivyo kwa sababu ya roho mbaya. Huna exposure ya kuelewa core principles za fre trade zinasemaje.Hujui "oligopoly" ni nini. Huelewi kwa nini Wa Rusi wanaandamana kuipinga oligarchy ya Vladimir Putin na wenzake. Hata sie tukiwa tunaelekea huko huko pole pole utashangilia tu. Halafu kesho utarudi hapahapa kupinga ufisadi.
Mie siwezi kupinga ufisadi superficially halafu ikija nafasi ya kuuliza some core principles za free trade (transparency, open tenders etc) unasema roho mbaya. Kitu kibaya ninachokiona hapa ni exposure ndogo ya watu kuhusu free trade na precepts zake.
Kwanza sijasema nakubaliana au sikubaliani na Masha. My issue is solely about making sure that standards are followed. Nimesema hapo juu napenda viongozi wanaojua biashara, lakini hili halimaanishi hata wakijikwapulia biashara bila kufuata sheria tukubali tu. Si tumemsema sana Mkapa na Kiwira hapa? Mimi nataka kuhakikishiwa tu kwamba hii biashara si a mini-Kiwira for a mini-Mkapa. What's wrong with that? Nataka uthibitisho tu kwamba mambo yameenda sawa, hata sija mu accuse kwamba kafanya vibaya, ni swala la due diligence tu.Kwamba kabla hatujaanza kumsifia Masha, tujue kwamba anafaa kusifiwa.
But I am sure some of y'all hata due diligence hamjui ni nini, by the looks of your posts at least I am justified to say so.
Trade secrets zinahusika na jinsi gani unafanya kazi yako, mitambo unayotumia, client list, etc.
Mimi nauliza biashara ilivyopatikana.Ilitakiwa kuwa na open tender, ilitakiwa kuwa na open and fair competition to all.Hakuna trade secret katika kuniambia ndiyo, tender ilitangazwa, kampuni fulani na fulani zilishindania, Masha hakutumia influence peddling na kwa kweli ndiye aliyeibuka mshindi kihalali, nikiridhika sitakawia kumsifu.
Lakini hatujajua hata kama tender ilikuwapo? Kwamba inawezekana Masha kapewa biashara mezani bila ya tender kushindaniwa? Unataka nione huyu ni enterpreneur? Huyu ni robber baron tu, kitu ambacho wenzetu wanakip[iga vita kila siku.
Biashara gani unayoongelea wewe? Biashara ya kinamama kuuza vitafunio Maandazi Road?
Unafahamu rules of free trade? Unafahamu free market ni nini? Unafahamu oligopoly ni nini? Unafahamu fair access to market ni nini? Unafahamu role of competition in free trade ni nini? Unafahamu influence peddling ni nini? Unafahamu open tender ni nini?
Mkienda ndani sana ya huu mradi wake mtakuta hayo magari yote ameyakopa na mkopo uko guaranteed na serikali zaidi ya asilimia 85. Muulizeni Zitto.
Masha anaweza kuwa na mapungufu yake kama mwanadamu, lakini nimependa jitahada zake za kuleta magari ya kisasa kuzoa taka. Tumechoka na malori yanayomwaga matakataka njiani. Kazi nzuri kijana Lau, ukisafiri iga mazuri.
Leo nimemsikia aliepata kuwa waziri wa Mambo ya ndani Lawrence Masha akihojiwa na EATV akasema anafanya kazi ya kukusanya/kusomba taka toka ktk makazi ya watu, alikana kuwa alikuwa anafanyia kazi zake ROSE GARDEN ila alikubali kuna wakati alikuwa anashinda pale na akasema alikuwa anaenda pale na chupa yake ya chai anakaa hadi usiku mnene.
Lakini pia kuna tetesi toka Mwanza kuwa alikuwa akienda club anasindikizwa na Defender mbili za polisi na zinalinda club mpaka atakapoondoka, bado ana ndoto za kutumikia umma kama watu watamuomba.
My take: Sikio la kufa...
We inaelekea ni msomi , tena mzuri tu, endelea kukata na kudisseminate issues kwa kwenda mbele lakini ukifikiri mtu(private business man) atakuja kukupa data za bishara zake hadharani, is being naive.
Kind of. Kama kachukua mkopo kufinance hii investment swala la kuwa na Government Guarantee sio la kuprove, ni given kwamba ni part of the loan facility, kwamba sasa ameamua kuifanya hii investment a going concern tujipe muda, sababu namtambua kama mtu anayeamini katika kufilisi makapuni and he always get out of it safe.Oooo,
Guaranteed na serikali kwa minajili gani? Au ndo kapewa bailout ya fedha za walipakodi baada ya kushindwa siasa?
Unajuaje kama mie si mfanyabiashara? unajuaje kama sina interest kubwa tu kwenye kuhakikisha business culture Tanzania inakuwa na standards nzuri za fairness?Mkuu waachie wafanyabiashara wafanye biashara zao.
Stop poking your nose there, ukitaka kufanya biashara , kata leseni uingie ngoma na ucheze.
We inaelekea ni msomi , tena mzuri tu,
endelea kukata na kudisseminate issues kwa kwenda mbele
lakini ukifikiri mtu(private business man) atakuja kukupa data za bishara zake hadharani, is being naive.
Nimeipenda hii ya Masha pamoja na kuwa utendaji wake serikalini ulikuwa na mushkeli.
Sasa mkuu wewe endelea kukata issues hapa JF.
Hata majambazi yanayoua watu na kuiba yanafanikiwa, kufanikiwa si swala. Swala hapa, kafanikiwaje?
what i see is what i get, and this is what i saw;Sasa kwa nini unaweka comment heavy namna hiyo wakati hauna sufficient information?? Habari zake zote zimo humu humu ndani, get trouble and search sina mpya.
Kinachoombwa ama kinachohojiwa hapa ni kama Masha na hiyo kampuni yake walipata hiyo zabuni kihalali pasipo na mizengwe yoyote. Kufanya hivyo si kuomba data za biashara zake. Hata mimi napenda kujua kama kweli taratibu na kanuni zote halali zilifuatwa. Kuna ubaya gani kwenye hilo?
Leo nimemsikia aliepata kuwa waziri wa Mambo ya ndani Lawrence Masha akihojiwa na EATV akasema anafanya kazi ya kukusanya/kusomba taka toka ktk makazi ya watu, alikana kuwa alikuwa anafanyia kazi zake ROSE GARDEN ila alikubali kuna wakati alikuwa anashinda pale na akasema alikuwa anaenda pale na chupa yake ya chai anakaa hadi usiku mnene.
Lakini pia kuna tetesi toka Mwanza kuwa alikuwa akienda club anasindikizwa na Defender mbili za polisi na zinalinda club mpaka atakapoondoka, bado ana ndoto za kutumikia umma kama watu watamuomba.
My take: Sikio la kufa...
Nashindwa kukuelewa, mara don't poke your nose, mara endelea kukata issues. Which is which? Stick to one line.
najikaza nashindwa kuzuia kicheko! Yaani utetezi wa lau duh!makubwa..... Kwenda bar na chai yako???? Sijui niseme yuko ki town zaidi.
Mkuu unashindwa kunielewa kwa sababu pamoja na disseminations zako zilizoenda shule, biashara kitu ingine kabisa, na kama unafanya biashara na una leseni basi you might get some insight as to what I am talking about.