Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
First time naingia kiwanja, nikakutana na dada mmoja mnyamwezi, katika kumdodosa small talk - tulikuwa stuck in an awkward position ambayo small talk muhimu, siyo kwamba nilikuwa namtokea wala nini- nikamuuliza, wewe una goals gani? Unataka kufanya nini baada ya kazi hii sorta dead end?
Basi mie nina mentality zile zile za "lawyer and doctor". Mdada akaniambia anataka kufanya kazi katika Waste Management, and not in those refined terms. Nikamuangalia mara mbili kutafuta any hint of sarcasm, lakini nikaona yuko serious kabisa.
Akanielewesha vizuri kabisa kwamba she has a passion for preserving the environment, she sees waste management as the perfect career kwake yeye kufanya kitu ambacho kitam satisfy intellectually/emotionally etc na at the same time ata make good money.
Huku nimetoka bongo mjomba alitaka kuwa accountant partly kwa sababu hakutaka kufanya kazi itakayomchafua.
The dichotomy in the thought process can be staggering.
Basi mwenyewe
Huyo dada kwa kweli naweza kusema aliokoka, maana wengi wetu hatufikii kiwango cha uamuzi huo. Na mara nyingi tunapokuja kuangukia uamuzi huo ni too late kwa vile wakati ambao tungepata nafasi zaidi tulidharau na matokeo tumechakaza kandambili kupitisha resume huku na kule bila mafanikio. Nimeipenda post yako Kiranga.