Mahi usicheke top za afu tatu yani nimecheka ila watani zangu wasukuma hawajawahi kufeli kwenye kuchekesha raia haijalishi ni wapi? ๐น๐น๐น๐น
Kwahiyo hapo ndio umenitukana?Poa, siwapendi kweli kweli mboga mboga.
Nyie ndo chanzo cha watu kuvaa malapulapu hadi maofisini wanashindwa kuafford nguo mpya hata ya mchina..!! ๐น๐น๐น
Nitawakanyagia, mimi nishaishi cha ukucha na wahuni..!! ๐น๐น๐นhahhahah
watakutafuta wakudunde
huogopi???
au na vitasa upo vizuri
Kwani unataka kutukanwa?Kwahiyo hapo ndio umenitukana?
watatii huu mwakaUdugu nilikumiss ๐
Ile siku tulipewa ban wote chezea sisi wewe..!!
Na jana nimewapelekea moto huko selfika mpk mods wamenipa ban kule..!!
Basi machogo yanajua yameniweza yanashinda yanabweka na milapulapu yao ya afu 3 hafu yalivyo maoga nasikia picha yamefuta ๐น๐น๐น๐น
Sasa kama huumii kwanini ufute picha ya top jomoooniiiโฆ!! Toka JF iumbwe na uzi wa selfika uwekwe kwa mara ya kwanza tumejionea dhambi ya fashooooooniiii ๐คธโโ๏ธ๐น๐น๐น
Halafu humu kuna watu wanatuzeesha kutuita dada dada banah kumbe ni mashangazi zetu yani hawapishani kabisaa na umri wa baba zetu..!! Ukimix na mitopu yao basi akhaaa wagombania uhuru wa Afro Shiraz ๐น๐น๐น๐น
Napenda wewe unavyotukana CCM.Kwani unataka kutukanwa?
Mods nao sitaki nataka.Ankal umeiona second warning? Ya tatu ndio nitolee.. Chezeni kwa step๐๐๐
CCM siwatukani ila nawaambia ukweli.Napenda wewe unavyotukana CCM.
Halafu ni kila mwaka nawashikisha adabu basi tu hili balo jipya nalo linajaribu jaribu ๐น๐น๐นwatatii huu mwaka
aiseee
Sawa basi tutakukaribisha siku moja uje utuambie ukweli live bila chenga.CCM siwatukani ila nawaambia ukweli.
๐น๐น๐น Mmeacha utekaji na uuaji mpk mnikaribishe?Sawa basi tutakukaribisha siku moja uje utuambie ukweli live bila chenga.
Halafu ni kila mwaka nawashikisha adabu basi tu hili balo jipya nalo linajaribu jaribu ๐น๐น๐น
Na washaanza kukaa kwenye line..!!
Umeshaanza.๐น๐น๐น Mmeacha utekaji na uuaji mpk mnikaribishe?
Washakaa wamebaki na maumivu mana mimi nawapa moja tu wamebaki wanaugulia kila uzi ๐น๐น๐นhakyanan sijawah ona
ila wasamehe....
tayari washakaa kwa line
Kwani Uongo? ๐น๐น๐นUmeshaanza.
๐๐๐
Inategemea na ntu na ntu.Kwani Uongo? ๐น๐น๐น
Poa, siwapendi kweli kweli mboga mboga.
Nyie ndo chanzo cha watu kuvaa malapulapu hadi maofisini wanashindwa kuafford nguo mpya hata ya mchina..!!
Udugu nilikumiss
Ile siku tulipewa ban wote chezea sisi wewe..!!
Na jana nimewapelekea moto huko selfika mpk mods wamenipa ban kule..!!
Basi machogo yanajua yameniweza yanashinda yanabweka na milapulapu yao ya afu 3 hafu yalivyo maoga nasikia picha yamefuta
Sasa kama huumii kwanini ufute picha ya top jomoooniiiโฆ!! Toka JF iumbwe na uzi wa selfika uwekwe kwa mara ya kwanza tumejionea dhambi ya fashooooooniiii
Halafu humu kuna watu wanatuzeesha kutuita dada dada banah kumbe ni mashangazi zetu yani hawapishani kabisaa na umri wa baba zetu..!! Ukimix na mitopu yao basi akhaaa wagombania uhuru wa Afro Shiraz
Uduguu kwanini lakiniii??Mahi usicheke top za afu tatu yani nimecheka ila watani zangu wasukuma hawajawahi kufeli kwenye kuchekesha raia haijalishi ni wapi?
Mods nao sitaki nataka.
Sasa mi nna madhara gani?
Halafu watu wenyewe wanasemea pembeni hata hawaji huku, huko selfika nna ban.
Vichaa wenyewe hata hawana mapya yote ya zamani. Wanasubiri mimi niwape topic ya kudiscuss.. km sasa hivi huko wanaongelea kuhusu blauzi yao ya afu tatu..!! Si umeona lakini ankal