Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Angetaja timu yako ungekaa kimya. Tatizo liko wapi kua tim kiba... Kwanza Ndo wanaendana.... Nyimbo nzuri, zimetulia na mafundisho awatanui misuli waki imba
Kwa hiyo Jide yeye kama yeye hawezi kuwa timu ????halafu mimi sikuongelea kwa nini yeye kuwa timu kiba hata angesema yeye ni timu V.money ningemshangaa kwa ukubwa wa jina lake na si kingine na mimi sijasema timu yangu hebu soma vizuri.
 
Kwa hiyo Jide yeye kama yeye hawezi kuwa timu ????halafu mimi sikuongelea kwa nini yeye kuwa timu kiba hata angesema yeye ni timu V.money ningemshangaa kwa ukubwa wa jina lake na si kingine na mimi sijasema timu yangu hebu soma vizuri.
Nje ya kazi zake za muziki nayeye ana anae muhusudu.
 
Hata mie jide napenda nyimbo zake tatizo la jide ni kiburi, ni mtu Fulani hajui kucheza na mashabiki zake, zamani nilikuwa namfatilia sana kwenye blog yake, yani hata uandishi wake au pindi anapotoa muongozo wa jambo anatoa kijeuri kama vile hana shida wala dhiki ya mashabiki wala pesa, mimi ndivyo nilivyomsoma hana lugha ya upole kwa mashabiki hasa unapokosoa.
 
Huu wimbo haujawahi kutoka tangu 2011 kauachia these days
 
Ni majungu tu na vijembe kwa mtalaka wake. Kwanini asimuvu tu ahead na life lake. wimbo mzuri beat safi sauti nzuri illa ujumbe umeharibu. Akina Maua et.al wataendelea kukukimbiza dada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom