nyanya zote hizo dawa za minyoo unakulaga shemeji
The closed by mtalaka Mamndenyi
wife wangu
sema huoni kakayako anakula kachumbari siju kama dr anampaga dawa za minyoo
wivu!!!
huyo doctor wake ni matata!! huwa anamchoma hadi sindano..
Liwalo naliwe
kutwa mara 6
Lady doctor, kwa muda mrefu sana nimekuwa nafuatilia posts zako humu na kwenye MMU.
Kwa kweli nimetokea kuvuiwa sana na wewe, unaonekana ni mwanamke unayepaswa kuwekwa ndani, una busara, unajua mwanaume anataka nini.
Kwa kweli ukinipa nafasi nitashukuru sana. Nimeona nisikutumie PM, ila niandike humu, ili hata wanabodi waweze nao kunisaidia.
Lady doctor nakupenda na nahitaji nianzishe familia nawe, naomba ukubali ombi hili...
Inamaana huoni Mumeo anavyolipuka lipuka humu! Inaonekana kuna mahali hujamgusa!