Lady doctor naomba tuwe wapenzi

Lady doctor naomba tuwe wapenzi


pacha we muache Eli79
azichange tutamchanganya
asijue my love wake kati yetu ni nani
c unakumbuka tulipokua watoto?atakomaje!!

hahahaaa...... Ndiyo hapo sasa atakapo jibeba atajiona anatoka na wewe kumbe yupo na mimi ngoja aje tumtobolee mifuko
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa...... Ndiyo hapo sasa atakapo jibeba atajiona anatoka na wewe kumbe yupo na mimi ngoja aje tumtobolee mifuko

kumbe nyie mapacha mnaofanana? hamna shida, tutakuwa tunatoka wote...mimi, weye na mchuchu wangu...usije ona wivu tu
 
pacha mi sitaki twende wote nataka kila mtu amchune kwa wakati wake, we nenda kaanze nae mi nitakuja kufanya finishing

kumbe hutaki tutoke wote e! basi tufanye kila mtu na zamu yake...afu nnavofurahi kuchunwa na warembo mie!
 
kumbe nyie mapacha mnaofanana? hamna shida, tutakuwa tunatoka wote...mimi, weye na mchuchu wangu...usije ona wivu tu

aaah...... Kwa wewe mbona mshipa wa wivu sinao, maana hata kwa waume zetu ni hivyo hivyo tunawachanganyia habari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom