ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,749
- 42,228
- Thread starter
- #81
Nomaš„š„
Nomaš„š„
Wenzio washasema inatosha jikite kwenye mada basišRadha āāāā
Kitenge cha binti wa zamani hiki š¹š¹
Nimecheka sana mkuuš šukiwa na hela mbususus unapata bila shida mwanawane kwanza uzuri wa warembo they dont mind sharing a rich mans penis
mala nyingiāāā maš«š nyungiāļøāļøāļøāļøMala nyingi
Pesa ndo msingi wa kila kituLadha ya maisha unaipata kwenye nini?
Watu husema bila afya, maisha hayana ladha
Wengine husema bila pesa, maisha hayana ladha
Kuna wanaokunywa pombe wakiamini ndiyo njia ya kuonja ladha ya maisha na kujisitiri na mawazo ya kila siku
Wengine huona raha na ladha ya maisha kupitia mapenzi na ngono, wakiamini humo ndimo kuna furaha kamili
Lakini je, umewahi kufika mahali ukaona maisha hayana ladha kabisa?
Radha ya maisha ni nini hasa?
Utajuaje kwamba hiki unachokipitia sasa ndiyo ladha halisi ya maisha?
Je, kuwa na familia, mke, mume, mpenzi, watoto, marafiki au hata mchepuko kumeongeza ladha ya maisha yako, au kumeifanya ipotee?
Karibu tushirikishane mawazo na uzoefu wetu
It's Furahi Day! š
ShesRise_1
š
Hata wahuni huzeekaMwaisaaaa muone aibu yesuView attachment 3606432
Tafuta kazi basi hii inaweza kua ngumu kwako maana baado nitaendelea kukosea šmala nyingiāāā maš«š nyungiāļøāļøāļøāļø
Yes YesPesa ndo msingi wa kila kitu
Pole hope now upo sawaAFYA NI MTAJI NO 1.
KUNA KIPINDI NILIKUWA NA MAMILIONI LAKINI SINA AFYA DAHHHHH!!!!!!
Kumbe sawa asanteUngeuliza tu hobbies za watu ni zipi. Binadamu wote wanahitaji afya njema, pesa na mapenzi kama mahitaji ya msingi.
Dah š š šKitenge cha binti wa zamani hiki š¹š¹
hadi ufahamu tofauti ya š na š katika neno na namna zinavyoathiri maana ya neno. Nahisi siku nyingine utachunguza kwanza kabla ya kuwasilisha.Wenzio washasema inatosha jikite kwenye mada basiš
Basi sawa naomba lipa namba utakopo enda kulaNatania vipi mi niko serious P š
Kama sitaki je š šhadi ufahamu tofauti ya š na š katika neno na namna zinavyoathiri maana ya neno. Nahisi siku nyingine uachunguza kwanza kabla ya kuwasilisha.
Ili nikuache tofautisha kati ya maneno haya; š¤š®š„š š§š š¤š®š«š.....
Shikamoo bibiUgali.
Nifundishe kutag niwe nawatag na SeranYes Yes