To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 20,192
- 37,770
Hata usipokuwa kwa ajili yangu,mi najisimamia mwenyewe….i know you well.SorryKwanini?
Nimecoment kulingana na ulichoandika.
Wewe ni mtu ambae nakuadmire, that's why nimeuliza ivo, na kama unafanya ivo uache. Am here for you.