Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 133
Hivi, tumekuwa tukisikia vitisho vya kimaneno mbalimbali katika jamii yetu...
Mojawapo ya vitisho hivyo ni upewaji laana.
Inasemekana kuwa laana utolewa na mzazi kwa mtoto aliye mtukutu au aliye kaidi mwongozo wa wazazi.
Tetesi ni kwamba laana inayorushwa na mtu mwingine, zaidi ya mzazi wako, huwa haikudhuru.
Jamani, hiki kitisho huwa kinafanya kazi kweli? Au ni moja ya mikwara bogus ambayo imetapaa kila kona ya utamaduni wetu?
Je laana ni nini?
Mojawapo ya vitisho hivyo ni upewaji laana.
Inasemekana kuwa laana utolewa na mzazi kwa mtoto aliye mtukutu au aliye kaidi mwongozo wa wazazi.
Tetesi ni kwamba laana inayorushwa na mtu mwingine, zaidi ya mzazi wako, huwa haikudhuru.
Jamani, hiki kitisho huwa kinafanya kazi kweli? Au ni moja ya mikwara bogus ambayo imetapaa kila kona ya utamaduni wetu?
Je laana ni nini?