Laana kuu Ubungo mataa!


Usisahau dar inchngia sana pato la taifa viwanda vingi vipo dar mahotel ya kifahari mengi wasipofanya hivyo watakosa mapato stahiki kutoka mkoa wa dar pekee yake.Chamsingi hapo siyo barabara za mikoani tu bali waendeleze mikoa hiyo ili wahamiaji wa ndani wahamie na mikoa mingine mfano waendeleze bandari ya bagamoyo, mtwara, tanga na mikoa mingine kuwahamasisha wawekezaji waje kuwekeza mikoani kujenga mahotel , mawakala wakubwa wakuuza magari ma vipuri kwa ujumla kuifanya hiyo mikoa kuwa na mzunguko wa pesa wakutosha we hebu angalia jiji la mbeya juzi juzi wamezindua lifti ya kwanza? Kwa nini watu wasuhamie dar kunakoptikana kila kitu?
 
Niko foleni ya ubungo mataa, tokea Tazara all the way hadi ubungo, malori yameshona mwanzo mwisho, masaa mawili sasa sijavuka ubungo
 

Mkuu kuna barabara moja inaunganisha Burundi, Rwanda, Uganda na kuelekea Congo. Ybaaani hiyo inachachandua bandari ya Dar kuweza kufanya kazi vyema. Hiyo imesahauliwa kabsaaaa. Kutengenezwa kwa barabara hii yenye kipande cha takriban 90km kingekuwa na tija mno kwa bandari ya Dar. Haieleweki kwa nini flyover za DAr ni kipaumbele hivi.
 
Teh teh umenikumbusha ile " Anayeona miambili ni ghali alive mbizi mpaka Kigamboni" dah! Hawa watu wanajisahaugi mno, nchi za watu huezi jibu upuuzi kama ule. Tena utajuta kwenye siasa uliingilia nini.
Kwani JPM alivyosema mpige mbizi nyie mlimchukulia serious?
 
Daraja linakaa miaka mingapi na hayo magreda tutapitisha mapaka lini??? Remember the growth, population and car ownership rates in City

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu katika kiswahili hakuna uwingi wa neno taa. Unavyosema mataa sijui unamaasha nini, lakini ulitakiwa useme taa za ubungo na sio MATAA
Naona unaforce kuto kuelewa thou unaelewa. Katumia jina maarufu kama ww ni mkazi wa mji wowote wenye traffic lights nadhani unajuu hii kitu
Mswahili yoyote anajua kuwa Taa haina prural form

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miundombinu inapendezesha mji


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona watanzania mnapenda kulalamika lalamika si ndo mchakato wa kujenga flyovers umeanza, juzi wafanyabiasha wa pale ubungo walitolewa,.. Zabuni ilishatolewa,
 
Mbona watanzania mnapenda kulalamika lalamika si ndo mchakato wa kujenga flyovers umeanza, juzi wafanyabiasha wa pale ubungo walitolewa,.. Zabuni ilishatolewa,
Achana nao hawa.. hata mradi wa mwendokasi ulipokuwa unajengwa waliongea sana.. ila leo wanapanda mabasi na wanausifia.. watu kama hawa wapo wengi sana, cha muhimu hakikisha hawakucheleweshi kwenye mafanikio yako, mtaji wao huwa kelele tu.
 
Zikivunjwa nyumba bara bara za treni zipite zipunguze foleni jpm mbaya na vilio juu mnataka nini sasa watu wa dar mkishindwa maisha karibuni sumbakalesa
 
Poleni hazizalishi hasara bali faida kwa wauza mafuta ya petrol na dizel na hivyo kuongea mapato ya kodi za serikali zilzomo kwenye mafuta.Gari inavyokula mafuta kwenye foleni ni kicheko cha wamiliki vituo vya mafuta
 
Tatizo kuchanganya siasa na kazi zinazohusu wataalam nje ya siasa Huyo jiki mwenyewe kwa ushamba wake alikataa jengo la tanesco mkoa wa Dar lisibomolewe eti ni vitu vya ki historia si unajua tena msoga hakuna ghorofa?
Ndio JPM analivunja sasa
 


Na cha kushangaza zaidi labda chadema, H.Rungwe & Co. wanapinga sisi kujenga flyover Ubungo!
 
Ndio tunajenga sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…