Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,235
- 1,273
- Thread starter
- #21
Ujenzi wa flyovers ni kiini macho.unahamisha tatizo kutoka junction A kwenda B.nafikiri tujikite zaidi kwenye ujenzi wa ring roads hii itasaidia. Kwa mfano ukijenga daraja Tazara utahamishia tatizo Buguruni na kwingineko au ukijenga Ubungo unaogeza volume Magomeni na kwingineko kwenye junction .tuache tabia ya kutaka kujionesga na tujikite kwenye utaalamu.
Hapana Mkuu.. kuna maeneo ni kero mno.. sasa ili ku-neutralize hayo maeneo madaraja yanahitajika, kwani ukiweka flyover ubungo na magari yakapita pale bila kusubiriana si itasaidia sana..?