Laana gani hiyo mkuu? Huo ni ujinga wenu wenyewe,. Kwanini ukubali kukaa kwa muda wote huo hapo mataa?
Laana gani hiyo mkuu? Huo ni ujinga wenu wenyewe,. Kwanini ukubali kukaa kwa muda wote huo hapo mataa?
Binafsi napinga Kujengwa Daraja Ubungo Mataa kwa sasa na badala yake hizo Fedha kama zipo zipelekwe kujenga Br. za Mikoani na Wilayani! Bado kuna Mikoa Mingi sana haijaunganishwa na Br. za Uhakika na Dar tayari ina miundombinu mizuri na ya kutosha! Kwa Mf. waunganishe Mbeya mpaka Tabora na mwishowe Kigoma n.k
Mawazo yangu mimi kwa hili ni kuimalisha usafiri wa public.watu wapaki magari yao nyumbani sote tupande public transport kwenda na kurudi ma kazini..nadhn hii itasaidia..
Baada ya kukaa foleni masaa mawili pae ubungo mataa ninaomba kujua yafuatayo. 1.) Ni hasara kiasi gani tumepata kama Taifa katika kipindi cha miaka kumi mpaka Leo kutokana na foleni hizi. 2.) Inagharimu kiasi gani kujenga daraja la magari kupita juu pale junction. 3.) Tukijua hizi data basi tutaweza kukadiria ni kwa kiasi gani serikali Yetu inawazimu.
Laana gani hiyo mkuu? Huo ni ujinga wenu wenyewe,. Kwanini ukubali kukaa kwa muda wote huo hapo mataa?
Daraja!!!!!! mhhhh hilo daraja la ubungo ..Mheshimiwa JK alisema tukimchagua yeye atajenga toka 2005 nipo school had leo kabakisha 2014.. labda ni mipango endelevu!!
WaTZ tunahuziwa huduma zetu za msingi kwa kupiga KURA
Ujenzi wa flyovers ni kiini macho.unahamisha tatizo kutoka junction A kwenda B.nafikiri tujikite zaidi kwenye ujenzi wa ring roads hii itasaidia. Kwa mfano ukijenga daraja Tazara utahamishia tatizo Buguruni na kwingineko au ukijenga Ubungo unaogeza volume Magomeni na kwingineko kwenye junction .tuache tabia ya kutaka kujionesga na tujikite kwenye utaalamu.
Unawaza kukodisha?Hizo greda unakodisha wewe au..?!
mkuu njoo uishi huku machame baridi safi chakula safi...
hakuna foleni wala nini
Mkuu
Nimekupata vizuri!
Ila nafikiri suala la kupitisha greda kila baada ya miezi mitatu siyo sustainable!
Hebu imagine kila baada ya miezi mitatu tunapiga greda barabara zote za kuchepuka zilizo karibu na junction au barabara za mitaa ya jiji la Dar es salaam ili kuzuia foleni kila mwaka!Unakjua ni kiasi kingi sana cha pesa ambacho tutakuwa tunakitumia!!!?Tofauti na kujenga flyovers ambazo ni rahisi na siyo ghali kama unavyotuaminisha!
Kwa mfano barabara nyingi za wenzetu zimeinuliwa za upande mmoja km mita 8 au kumi kupisha upande mwingine wa barabara upite kwa chini!
Nafikiri wale mnaosafiri barabara hasa zile njia zenye reli hasa ya kati mna experience ya kuona huko barabarani wakati treni inapopita juu ya barabara bila kuwasimamisha wale wanaosafiri kwa magari pale mnaposafiri!
Huu ndio mfano wa daraja hizo!Ni cheap ,sustainable na zinadumu muda mrefu sana bila kufanyiwa maintanance tofauti na kuweka hayo magreda ya kusembua ambao uwepo wake tu wenyewe ndani ya kila baada ya miezi mitatu ni foleni tosha.
Okay tuvumilie..