Ni Tanzania tu utaona Traffic Police anaongoza magari kwenye round about. Ubungo mataa baada ya mchina kuweka round about watu wengi walishangazwa kuona namna tatizo la foleni pale lilivyopungua kabla hata ya flyover kukamilika.
Cha ajabu baada ya ahueni hiyo matrafiki wamekuja pale na sasa pana jam ya hatari. Siku wasipokuwepo hata kama kuna magari mengi kiasi gani yote yanaenda vizuri na salama. Ninachojiuliza ni lengo lao ni kuweka jam au kuondoa jam? Je wana maslahi binafsi na kuwepo kwa jam pale?
Naomba uongozi walifanyie kazi hili kweli inakera.
Cha ajabu baada ya ahueni hiyo matrafiki wamekuja pale na sasa pana jam ya hatari. Siku wasipokuwepo hata kama kuna magari mengi kiasi gani yote yanaenda vizuri na salama. Ninachojiuliza ni lengo lao ni kuweka jam au kuondoa jam? Je wana maslahi binafsi na kuwepo kwa jam pale?
Naomba uongozi walifanyie kazi hili kweli inakera.