Boanerge
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 682
- 176
Binafsi napinga Kujengwa Daraja Ubungo Mataa kwa sasa na badala yake hizo Fedha kama zipo zipelekwe kujenga Br. za Mikoani na Wilayani! Bado kuna Mikoa Mingi sana haijaunganishwa na Br. za Uhakika na Dar tayari ina miundombinu mizuri na ya kutosha! Kwa Mf. waunganishe Mbeya mpaka Tabora na mwishowe Kigoma n.k
Usisahau dar inchngia sana pato la taifa viwanda vingi vipo dar mahotel ya kifahari mengi wasipofanya hivyo watakosa mapato stahiki kutoka mkoa wa dar pekee yake.Chamsingi hapo siyo barabara za mikoani tu bali waendeleze mikoa hiyo ili wahamiaji wa ndani wahamie na mikoa mingine mfano waendeleze bandari ya bagamoyo, mtwara, tanga na mikoa mingine kuwahamasisha wawekezaji waje kuwekeza mikoani kujenga mahotel , mawakala wakubwa wakuuza magari ma vipuri kwa ujumla kuifanya hiyo mikoa kuwa na mzunguko wa pesa wakutosha we hebu angalia jiji la mbeya juzi juzi wamezindua lifti ya kwanza? Kwa nini watu wasuhamie dar kunakoptikana kila kitu?