Coolant
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,167
- 1,912
Mwendokasi zinapita wapi?
Njia ya mwendo kasi inabaki ileile
Mwendokasi zinapita wapi?
Mwendokas wanapita Juu huko Juu ni Magari yote yanayoenda Mwenge yakitokea Tabata moja Kwa moja na Juu Kabisa yatapita Kimara Posta au Posta Kimara huko huko kuna njia mbili Kama unvyoona ssNimetazama ule ujenzi sijaelewa kwanini wameweka ghorofa mbili na ground floor itatumika kwa shughuli ipi, kadhalika mwendokasi watapita wapi?
TRA imeingiza pesa nyingi kupitia foleni sababu ukiwa foleni mafuta yanaliwa Sana inabidi ujaze mengine na kila Lita Kuna Kodi kea hiyo ukijaza zaidi TRA wanapata pesa na wafanyabiashara wa vituo vyao mafuta pesa zinaongezeka.Baada ya kukaa foleni masaa mawili pae ubungo mataa ninaomba kujua yafuatayo.
Ni hasara kiasi gani tumepata kama Taifa katika kipindi cha miaka kumi mpaka Leo kutokana na foleni hizi.
Top layer ni Tabata to MwengeMwendokas wanapita Juu huko Juu ni Magari yote yanayoenda Mwenge yakitokea Tabata moja Kwa moja na Juu Kabisa yatapita Kimara Posta au Posta Kimara huko huko kuna njia mbili Kama unvyoona ss
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae huyu akili ndogo,ametumia haki yake kutoa maoni ila mpuuzeHizo greda unakodisha wewe au..?!
Huko watasema wazungu walijenga sasa hapo nairobi na Ghana kila mji flyover alijenga beberu? Ni ushamba tu wa kutofikili na kushindwa kuchagua vipaombeleTatizo wabongo wengi mbulula halafu wanajifanya wanajua kuchangia upuuzi, flyover ndo huwa suluhisho la foleni sio lazima ujenge zote kwa pamoja mfano bara bara kutoka manzini swaziland to mbabane kuna flyver za kumwaga ambazo wala hazioneshi kuwa gharama sana pia kutoka Johburg mpaka pretoria so mchezo ,najua watakuja kutetea ule uf.a.la wao ku SA imeendelea kiuchumi je swazi wana uchumi gani? Nairobi je Nigeria je,nadhani Tanzania ndo nchi ambayo haina flyover hata moja,swala kwamba barabara zipigwe grader ni hoja chakavu japo itasaidia kidogo coz kila m2 atataka kupita huko kwa tunaojua chocho za bongo liko wazi hili,halmashauri nyingi najua hazina foleni kabisa ukiacha majiji magreda yanatosha ila provision ya bara bara nyingi tena za flyover zinatakiwa sio barabara mbili kila cku kwenye majukwaa na tv juu mnajicfia wakati kila kukicha mko ulaya mnaona wanaume wenzenu walivyotumia akili zao na rasilimali.
Kila kwenye critical junction lazima ijengwe hoja sio kujenga interchange moja bali kadhaa na kuimalisha barabara za pembeni,sio tu Dar na miji yote Tzn yenye hali kama hiyo,mbona nchi za waafrika wenzetu zinaweza shida ni ipi hapa bongo?Jamani, kujenga madaraja sio suluhisho. Tatizo la nchi yangu ni kwamba hatuna wataalam wa mipango ya aina yeyote. Wanawaza sasa hivi tu. Mbona mji flani niliona ma flyovers na hakuna foleni? Huo si utaalam wala sio mpango. Kujenga flyover Ubungo Mataa hakutaleta suluhisho kwani msururu utaanzia magomeni mpaka magari yatakuwa hapo juu yamekwama.
Tutengeneze michepuko tu na hizo hela ka zipo mzee Magufuli. Michepuko ikiwa mizuri na yenye lami ikiwezekana nnani atapoteza mda wake Ubungo Mataa?
Watu wanakuja na solutions rahisi rahisi tu. Watu hawataki kufikiri ni kutamka tu. Unaamuru watu waende Mabwepande. Unaenda kumtupa mtu msituni na kumwacha huko. Hujali watoto walio athirika na usumbufu huo, hujali wamama walio athirika na usumbufu huo. Ni majambazi tu unazalisha kwa ile chuki kuwa umemtoa mjini ukampeleka porini na kumtupa huko. Unaamua, boda boda zisifike mjini, unataka watu watembee toka wapi mpaka wapi. Ati, sababu ni kwamba boda boda zinatumiwa na wezi. Hivi hilo ndo tatizo kweli? Ama kweli, vichaa wanapopewa rungu, tujiandae.
Tafuta suluhisho la tatizo kwanza halafu ndo marufuku isimamie. Tanzania bila uongozi huu uliopo, yawezekana. Watu wamekata tamaa, hata kupiga kura hawataki. Anaona heri alale usingizi kuliko kwenda mchagua kichaa mwingine kwani ni wale wale tu kila siku. Ahadi kibao na flana na chepeo tu, sana sana na wali maharage sinia moja watu 10. Hiyo yaitwa Takrima. Nasema, Tanzania bila huu uongozi uliopo, YAWEZEKANA.
Nasema flyover sio suluhisho. Tengenezeni michepuko.
Amini wahi ;MATAA!!?Mkuu katika kiswahili hakuna uwingi wa neno taa. Unavyosema mataa sijui unamaasha nini, lakini ulitakiwa useme taa za ubungo na sio MATAA
Kutafutwe njia nyingine ya kuingia mjini. Wachepukie Chalinze na kuteremkia Pugu na wengine wapitie BagamoyoKila kwenye critical junction lazima ijengwe hoja sio kujenga interchange moja bali kadhaa na kuimalisha barabara za pembeni,sio tu Dar na miji yote Tzn yenye hali kama hiyo,mbona nchi za waafrika wenzetu zinaweza shida ni ipi hapa bongo?
Watapita ground floor, pale kutakuwa na muingiliano wa magari yanayopinda kushoto/kulia, sijui itakuwa roundabout au vipi. First floor ni Kimara-Posta(including mwendokasi), second floor ni mwenge-buguruni.Wakuu nimetazama pale sijaelewa watumiaji hawa watafanyaje:
Anayetoka Kimara kwenda Buguruni
Anayetoka Mwenge kwenda Kimara
Anayetoka Manzese kwenda Mwenge
Anayetoka Tabata kwenda Manzese watapitaje kwenye hilo daraja
Watapita ground floor, pale kutakuwa na muingiliano wa magari yanayopinda kushoto/kulia, sijui itakuwa roundabout au vipi. First floor ni Kimara-Posta(including mwendokasi), second floor ni mwenge-buguruni.
Check link hiyo lazima uelewe kinachoendelea:
Serikali ikiboresha miundombinu mnabeza, mnasema mnataka maendeleo ya watu siyo vitu. Leo unakuja kulialia hapa ili iweje ?Baada ya kukaa foleni masaa mawili pae ubungo mataa ninaomba kujua yafuatayo.
1.) Ni hasara kiasi gani tumepata kama Taifa katika kipindi cha miaka kumi mpaka Leo kutokana na foleni hizi.
2.) Inagharimu kiasi gani kujenga daraja la magari kupita juu pale junction.
3.) Tukijua hizi data basi tutaweza kukadiria ni kwa kiasi gani serikali Yetu imelala.
Umeandika uharoHuko watasema wazungu walijenga sasa hapo nairobi na Ghana kila mji flyover alijenga beberu? Ni ushamba tu wa kutofikili na kushindwa kuchagua vipaombele
Miaka 5 imekwisha barabara alizoanzisha JK hazijamalizika bado mikoa hadi mikoa ni matope kwenda mbele
Baada ya kukaa foleni masaa mawili pae ubungo mataa ninaomba kujua yafuatayo.
1.) Ni hasara kiasi gani tumepata kama Taifa katika kipindi cha miaka kumi mpaka Leo kutokana na foleni hizi.
2.) Inagharimu kiasi gani kujenga daraja la magari kupita juu pale junction.
3.) Tukijua hizi data basi tutaweza kukadiria ni kwa kiasi gani serikali Yetu imelala.
Hii foleni ya Ubungo ni balaa sijawahi ona....!!!!