Laana kuu Ubungo mataa!

No hurry in africa!!!


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 

hapo ndio shida ya viongoz wetu,
kila siku na mipango mipya...... et waziri mwakyembe kaanzisha route ya treni
kwa hapa mjini dar kwa miundo mbinu ya Zamani huuu c uchizzzz.
 
mzee kwani hizo gari hata bila flyover si zinaendaga huko huko...kwa hiyo flyover itakuwa imetatua tatizo ubungo ambalo ndio lengo..

Hapa mkuu kutatua tatizo sehemu moja na kutengeneza tatizo sehemu nyingine si njia ya kitaalam.
 
Mawazo yangu mimi kwa hili ni kuimalisha usafiri wa public.watu wapaki magari yao nyumbani sote tupande public transport kwenda na kurudi ma kazini..nadhn hii itasaidia..

Unajua serikali inapata kiasi gani cha pesa kupita fuel levy?
 

Nigeria zipo flyover nyingi sana lakini traffic yake unaweza sema Dar hakuna traffic. Pia wana road network kubwa mno. Flyover si suluhu kwa Dar. Njia zilizopo zifanywe zipitike, sio mtu anatoka Tabata anaenda kimara au mbezi apite ubungo ilihali zipo njia mbili za kumfikisha huko ambazo hazipitiki kirahisi, n.k
 

Kwahiyo hii itaondoa foleni za dar?
 

Mkuu tatizo la foleni bongo linatokana na mambo mengi kubwa ikiwa ni miundo mbinu yenyewe hii nakubali ila nachoona mm hatuna barabara za kutosha nadhani sababu ni kua maeneo mengi hayajapimwa yako kiholela. Huwezi kulinganisha nigeria na tanzania wana magari takribani mil 12 wakat kwetu hayafiki hata milion 1 kwa mujibu wa takwimu za shirika la afya duniani. Unaweza kuangalia hapa.
Registered vehicles: Number of registered vehicles - Data by country
 

Kwa Tanzania ukiona kuna tatizo ujue ni kafara kwa neema za wakubwa!
pengine hii foleni kuna wakubwa wanfaidika au watafaidika nayo in future, si bure maana Kama si hivyo wangefikiria Kutatua kwa haraka!
 
Mkuu wakishajenga flyovers; CCM watatumia njia gani kuomba kura kwa wananchi. Maana kila uchaguzi ahadi ni zile zile barabara na maji. Sasa wakitekeleza hizo ahadi, wataahidi nini kwenye uchaguzi unaofuata?
 

Hao ni mpaka watoke madarakani, maana hawana jambo lolote la maana wanalofanya. Miundombinu yote ni hovyo tu, kila siku kuongea tu bila vitendo...hovyoooòoooooooooooooo
 
wazo zuri saaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…