Nipo Ubungo Mataa sasa ni masaa 2 mbele, kuna nini?

Nipo Ubungo Mataa sasa ni masaa 2 mbele, kuna nini?

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Wakuu nataka kuvuka mataa ya ubungo sasa ni saa mbili inatimia hatusogei. nimelala nimeamka wap!!

Hivi mbele kunanini hivi jamani
 
Barabara inatengenezwa pale makutano. Naona taarifa hukuziona kwenye gazeti la UHURU. watachukua takriban masaa matatu tu na hudma itarejea. Vumilia mkuu hhuo ndio ukubwa wenyewe
 
Barabara inatengenezwa pale makutano. Naona taarifa hukuziona kwenye gazeti la UHURU. watachukua takriban masaa matatu tu na hudma itarejea. Vumilia mkuu hhuo ndio ukubwa wenyewe

Aha!
gazeti la UHURU!

Nashukuru nimevuka sasa.
 
wakuu nataka kuvuka mataa ya ubungo sasa ni saa mbili inatimia hatusogei. Nimelala nimeamka wap!!

Hivi mbele kunanini hivi jamani
zima gari kuwa mvumilivu utulie kimya mpaka yesu atakapokuja ama amlete lowassa

endelea kuomba muda umebaki mchache nchi kuongozwa na wateule wa mungu
 
Wakuu nataka kuvuka mataa ya ubungo sasa ni saa mbili inatimia hatusogei. nimelala nimeamka wap!!

Hivi mbele kunanini hivi jamani

Jitahidini kuchunguza,kuna baadhi ya madereva wanasinzia kwenye foleni nimeona kwa jamaa mmoja tena wa gari binafsi,magari yameruhusiwa jamaa haondoi gari mpaka watu wakapiga bodi ndo akastuka sijui ndo tatizo la ratiba ya kombe la dunia watu wanakesha!
 
Back
Top Bottom