La umeme Watanzania ni waelewa, wavumilivu na linavumilika. Assuarance hii from "The Horse's Mouth" ni toshelevu. Lakini la maji linavumilika?

Nimeona mahali, inasemekana Manager wa Maji anadai kuwa kuna ng'ombe 5000 mto Ruvu ndiyo wanaokunywa maji na kusababisha ukame kwenye mto.

Wakati huo huo kwenye umeme, Manager wa Tanesco Kinondoni amedai kuwa kuna kunguru wengi sana ndiyo wanaosababisha kukatika katika kwa umeme wilaya I Kinondoni.
Hahaha
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makalazangu za " Kwa Maslahi ya Taifa". Hali ya Umeme nchini kwa sasa inapitia changamoto ya upungufu wa kima cha maji kwenye uzalishaji wa umeme, hili kinaeleweka na linavumikika, ufafanuzi huu wa Waziri Husika from the horses mouth

ni toshelevu na ùmeeleweka.

Ila hili la mgao wa maji!, kiukweli kabisa kwenye baadhi ya maeneo, ni zaidi ya mgao!. Mgao gani leo ni 10 days bila tone la maji!. Hili la ukosefu wa maji jee tatizo hili linaeleweka kuwa limesababishwa na ukosefu wa mvua?, jee linavumilika?. Maji ni uhai!, mtu unaweza kuishi bila umeme, wengi wetu tumezaliwa vijijini hakuna umeme, tumeishi, lakini maji ni uhai, huwezi kuishi bila maji!. Jee tunaweza kuishi bila maji?, huu ukosefu wa maji unavumilika?. Tufanyaje?.
Paskali
Kwa hili laumu serikali yako ya ccm kwa kushindwa kazi.
 
HAPANA ndugu Pascal Mayalla...!!

Unapiga siasa huku ukikwepa kutumia akili yako vyema ili kusema ukweli kuleta tiba sahihi na ya kudumu ya mambo haya kwa taifa letu...!

Ishu ya umeme na hayo mengine maji nk nk kwa hatua ya sasa hazina utetezi unaoweza kukubalika kwa watu wenye akili na ufahamu toka kwa serikali hii ya CCM ya sasa..!

Tatizo la ukame halijaanza leo wala jana. Na utetezi huu si wa kwanza. January Makamba na serikali kwa ujumla ina copy na kupaste tu sababu zilezile za miaka na miaka toka serikali zilizopita...!

Yaani ni takribani miaka 40 sasa utetezi huwa ni huu huu - yaani ukame na kupungua maji tokana na ukame..!!

Ilikuwa hivyo enzi za Hayati Ben Mkapa 1995 - 2005...

Suluhu yake ikawa ni makampuni ya uzalishaji umeme wa kutumia mafuta na ndipo kampuni ya IPTL na zingine zikaingia.. TUKALIWA kama nchi...

Haikuwa suluhu bali tatizo likipozwa tu kwa muda...

Ongezeko la watu na shughuli za uzalishaji kutumia umeme ziliongezeka sana na hivyo mahitaji ya umeme kuongezeka...

Mkapa akatoka zake. Na akaingia mzee wa Msoga Jakaya Kikwete 2005 - 2015...

Tatizo likawa kubwa zaidi na nchi kupitia wakati mgumu sana..

Utetezi ukikuwa ni huu huu, maji + ukame. Huyu akaja na suluhu mbili;

1. Mvua ya kutengenezwa (artigicial rain) toka Malaysia? Singapore? ili ijaze mabwawa yetu ya kuzalisha umeme. TUKALIWA, USHIRUKINA MTUPU..

2. Mradi ya GESI YA MTWARA uliotugharimu karibu trillion 3. NAO TUKALIWA MCHANA KWEUPE bila utatuzi kupatikana..!

Kikwete akaondoka na kuacha shida na matatizo yakiwa palepale..

Akaingia Rais John P. Magufuli 2015 - 2021. Akaipokea shida hii..

Huyu alikuja na approach ya aina yake kwa kutumia ubabe na akili anazozijua mwenyewe pekee..

To some extent aka - stabilize mambo. Umeme ukawa stable karibu kipindi chote cha miaka kama 6 cha uongozi wake. Kama ulikatika, basi mkatiko wake uliweza kuelezeka, watu wakaekewa na kuvumilia...

Kosa kubwa la huyu hata kuleta maswali kiasi cha watu kujiuliza tunafanya nini na tunapelekwa wapi na hawa watu, ni kuachana na mradi wa umeme wa gesi ya Mtwara ambao wao wenyewe walituambia ndiyo suluhu ya kudumu ya umeme Tanzania...!!

U - TURN hii ya ghafla, Ikatushangaza wengi...!!

3trn Tshs zikazikwa mchana kweupe huku tukiona kwa macho yetu...!

Badala yake, Magufuli naye akaja na wazo la kurudi kulekule kwenye umeme wa maji huku akijua lipo tatizo la ukame...

Akaja na mradi wa Stiglers Gorge HEP plant maarufu kama Mwalimu Nyerere HEP Power Station unaokula karibu TZS 8trn.. NA HAPA NI KAMA TUNAKWENDA KULIWA TENA...!!

Sasa watu kama hawa waliotengeneza wenyewe matatizo haya, wanawezaje kuyatatua wao wenyewe tens..?

Mr Pascal Mayalla ni miaka zaidi ya 35 sasa tatizo hili lipo na approach inayotumika ni ileile kwa muda wote huu huku nchi ikipoteza matrilioni ya shilingi bila tatizo kutatuliwa...??

Hawa ni watu wa namna gani unadhani? Unafikiri wanafeli wapi..?

Ni simple tu. SERA na MIPANGO YAO IMESHASHINDWA na haiwezekani tena kuaminika...

Kama wameshindwa kwa miaka 35 au 40 wanaweza vipi kwa miezi mitatu ijayo...?

TUFANYEJE SASA MAANA NDIYO WAPO MADARAKANI?

Jibu ni Rahisi tu:

1. Tuwafurushe waondoke kwenye mamlaka za kimaamuzi waje watu wangune wenye fikra na mipango tofauti..!

2. Kikwazo ni mfumo wa kisiasa unaozaa mfumo wa utawala wa nchi. Tubadili mfumo wetu wa kikatiba na kisheria, tutengeneze mpya utaozaa mfumo imara wa siasa na utawala unaowajibika kwa wananchi..

That's all. Achaneni na porojo za hawa.
Nani ataweza kuwafurusha, sanduku la kura hio sahau, wameshakuwa Kama Gamba la Kobe, ukilitoa Kobe anakufa, inahitaji tu muujiza wa Mwenyezi Mungu
 
HAPANA ndugu Pascal Mayalla...!!

Unapiga siasa huku ukikwepa kutumia akili yako vyema ili kusema ukweli kuleta tiba sahihi na ya kudumu ya mambo haya kwa taifa letu...!

Ishu ya umeme na hayo mengine maji nk nk kwa hatua ya sasa hazina utetezi unaoweza kukubalika kwa watu wenye akili na ufahamu toka kwa serikali hii ya CCM ya sasa..!

Tatizo la ukame halijaanza leo wala jana. Na utetezi huu si wa kwanza. January Makamba na serikali kwa ujumla ina copy na kupaste tu sababu zilezile za miaka na miaka toka serikali zilizopita...!

Yaani ni takribani miaka 40 sasa utetezi huwa ni huu huu - yaani ukame na kupungua maji tokana na ukame..!!

Ilikuwa hivyo enzi za Hayati Ben Mkapa 1995 - 2005...

Suluhu yake ikawa ni makampuni ya uzalishaji umeme wa kutumia mafuta na ndipo kampuni ya IPTL na zingine zikaingia.. TUKALIWA kama nchi...

Haikuwa suluhu bali tatizo likipozwa tu kwa muda...

Ongezeko la watu na shughuli za uzalishaji kutumia umeme ziliongezeka sana na hivyo mahitaji ya umeme kuongezeka...

Mkapa akatoka zake. Na akaingia mzee wa Msoga Jakaya Kikwete 2005 - 2015...

Tatizo likawa kubwa zaidi na nchi kupitia wakati mgumu sana..

Utetezi ukikuwa ni huu huu, maji + ukame. Huyu akaja na suluhu mbili;

1. Mvua ya kutengenezwa (artigicial rain) toka Malaysia? Singapore? ili ijaze mabwawa yetu ya kuzalisha umeme. TUKALIWA, USHIRUKINA MTUPU..

2. Mradi ya GESI YA MTWARA uliotugharimu karibu trillion 3. NAO TUKALIWA MCHANA KWEUPE bila utatuzi kupatikana..!

Kikwete akaondoka na kuacha shida na matatizo yakiwa palepale..

Akaingia Rais John P. Magufuli 2015 - 2021. Akaipokea shida hii..

Huyu alikuja na approach ya aina yake kwa kutumia ubabe na akili anazozijua mwenyewe pekee..

To some extent aka - stabilize mambo. Umeme ukawa stable karibu kipindi chote cha miaka kama 6 cha uongozi wake. Kama ulikatika, basi mkatiko wake uliweza kuelezeka, watu wakaekewa na kuvumilia...

Kosa kubwa la huyu hata kuleta maswali kiasi cha watu kujiuliza tunafanya nini na tunapelekwa wapi na hawa watu, ni kuachana na mradi wa umeme wa gesi ya Mtwara ambao wao wenyewe walituambia ndiyo suluhu ya kudumu ya umeme Tanzania...!!

U - TURN hii ya ghafla, Ikatushangaza wengi...!!

3trn Tshs zikazikwa mchana kweupe huku tukiona kwa macho yetu...!

Badala yake, Magufuli naye akaja na wazo la kurudi kulekule kwenye umeme wa maji huku akijua lipo tatizo la ukame...

Akaja na mradi wa Stiglers Gorge HEP plant maarufu kama Mwalimu Nyerere HEP Power Station unaokula karibu TZS 8trn.. NA HAPA NI KAMA TUNAKWENDA KULIWA TENA...!!

Sasa watu kama hawa waliotengeneza wenyewe matatizo haya, wanawezaje kuyatatua wao wenyewe tens..?

Mr Pascal Mayalla ni miaka zaidi ya 35 sasa tatizo hili lipo na approach inayotumika ni ileile kwa muda wote huu huku nchi ikipoteza matrilioni ya shilingi bila tatizo kutatuliwa...??

Hawa ni watu wa namna gani unadhani? Unafikiri wanafeli wapi..?

Ni simple tu. SERA na MIPANGO YAO IMESHASHINDWA na haiwezekani tena kuaminika...

Kama wameshindwa kwa miaka 35 au 40 wanaweza vipi kwa miezi mitatu ijayo...?

TUFANYEJE SASA MAANA NDIYO WAPO MADARAKANI?

Jibu ni Rahisi tu:

1. Tuwafurushe waondoke kwenye mamlaka za kimaamuzi waje watu wangune wenye fikra na mipango tofauti..!

2. Kikwazo ni mfumo wa kisiasa unaozaa mfumo wa utawala wa nchi. Tubadili mfumo wetu wa kikatiba na kisheria, tutengeneze mpya utaozaa mfumo imara wa siasa na utawala unaowajibika kwa wananchi..

That's all. Achaneni na porojo za hawa.
Huyo Pascal na yeye ni genge la hao hao ccm! Hapo unapigia mbuzi gitaa.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makalazangu za " Kwa Maslahi ya Taifa". Hali ya Umeme nchini kwa sasa inapitia changamoto ya upungufu wa kima cha maji kwenye uzalishaji wa umeme, hili kinaeleweka na linavumikika, ufafanuzi huu wa Waziri Husika from the horses mouth

ni toshelevu na ùmeeleweka.

Ila hili la mgao wa maji!, kiukweli kabisa kwenye baadhi ya maeneo, ni zaidi ya mgao!. Mgao gani leo ni 10 days bila tone la maji!. Hili la ukosefu wa maji jee tatizo hili linaeleweka kuwa limesababishwa na ukosefu wa mvua?, jee linavumilika?. Maji ni uhai!, mtu unaweza kuishi bila umeme, wengi wetu tumezaliwa vijijini hakuna umeme, tumeishi, lakini maji ni uhai, huwezi kuishi bila maji!. Jee tunaweza kuishi bila maji?, huu ukosefu wa maji unavumilika?. Tufanyaje?.
Paskali
Kwa hiyo mkuu Tangu tupate Uhuru tumeshindwa kuwa na vyanzo vya maana vya umeme?Hali hii inaonesha aina ya viongozi tulionao.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makalazangu za " Kwa Maslahi ya Taifa". Hali ya Umeme nchini kwa sasa inapitia changamoto ya upungufu wa kima cha maji kwenye uzalishaji wa umeme, hili kinaeleweka na linavumikika, ufafanuzi huu wa Waziri Husika from the horses mouth

ni toshelevu na ùmeeleweka.

Ila hili la mgao wa maji!, kiukweli kabisa kwenye baadhi ya maeneo, ni zaidi ya mgao!. Mgao gani leo ni 10 days bila tone la maji!. Hili la ukosefu wa maji jee tatizo hili linaeleweka kuwa limesababishwa na ukosefu wa mvua?, jee linavumilika?. Maji ni uhai!, mtu unaweza kuishi bila umeme, wengi wetu tumezaliwa vijijini hakuna umeme, tumeishi, lakini maji ni uhai, huwezi kuishi bila maji!. Jee tunaweza kuishi bila maji?, huu ukosefu wa maji unavumilika?. Tufanyaje?.
Paskali

Hapa nimemuona bwana Paskali Mayalla mwenyewe ninayemfahamu, keep it up mkuu.
 
Poor Planning.
Poor Leadership.
Lack of Priorities.
Nchi hii haijawahi kutengeneza mpango ukatekelezeka wala haijawahi kuwa na vipaumbele! Maofisa mipango wa serikali hawana wanachofanya ni bora ofisi zao zikafungwa na ajira zao zikafutwa!

Kinachofanywa na serikali ni kutekeleza maono ya kukurupuka ya Rais. Leo hii Rais akiamua kununua magari 1000 ya magereza yatanunuliwa hata bila kuwa na bajeti yake!
 
Awamu hii ya mpito wanajua kusafiri tu, hata aibu hawana. Inasikitisha sana.
Tegemea visingizio, ubabaishaji, chawa kuipigia campaign ya propaganda serikali, kutembea bakuli duniani, ombaomba. Ila kuchapa kazi, kutatua matatizo ya Watanzania, sahau.

Tegemea safari, kongamano, warsha, semina, upigaji kuongezeka.

Tegemea kuchaguliwa viongozi wengi wabovu na kuwatimua viongozi wanaowajibika.

Tatizo ni katiba ni kama mwimbaji taratibu unampa kazi ya kuendesha ndege.

Obvious hana huo uwezo, ndege lazima ipate misukosuko mingi kama sio kuanguka.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za " Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya leo ni kuzungumzia kidogo hali ya umeme nchini ambayo kwa sasa inapitia changamoto mbalimbali mojawapo ni kupungua kwa kina cha maji katika mabwawa ya uzalishaji wa umeme, hili linaeleweka na linavumilika, ufafanuzi huu wa Waziri husika from the horses mouth

ni toshelevu na ùmeeleweka.

Ila hili la mgao wa maji!, kutokana na yatizi hilo hilo, kiukweli kabisa sio tuu halieleweki, bali pia, halivumiliki!.

Tumeelezwa tutapata maji kwa mgao, mgao huu ni mgao wa aina gani ambapo kwenye baadhi ya maeneo, ni zaidi ya mgao!. Mgao gani leo ni 10 days bila tone la maji!. Hili la ukosefu wa maji jee ni upungufu tuu wa maji au kuna tatizo jingine hatuelezwi?. Japo ni kweli kuna upungufu wa maji, hili linaeleweka kuwa limesababishwa na ukosefu wa mvua, swali ni jee linavumilika?. Maji ni uhai!, mtu unaweza kuishi bila umeme, na maisha yakawezekana, tena wengi wetu tumezaliwa, kukulia, kusomea vijijini ambako hakuna umeme, tumeishi, na maisha yamewezekana, lakini kuishi bila maji , hakuwezekani kwasababu maji ni uhai, huwezi kuishi bila maji!. Jee tunaweza kuishi bila maji?, huu ukosefu wa maji unavumilika?. Tufanyaje?.
Paskali


Paskali, kweli maji ni uhai, kwa maana nyingine ukikosa maji umekosa uhai? Si ndio maana yake, yaani mtu akikunyima maji anakunyima uhai au nimekosea?

Waziri wa Fedha, yeye anasema tuko 74% kitaifa kwa upatikanaji wa maji, naona hizi data za Mwigulu za kwenye makaratasi tu. Wabunge wamepinga vikali sana kuhusu hiyo 74% ya nchi nzima kwa upatikanaji wa maji.

 
Back
Top Bottom