Kyela: Dr. Mwakyembe amtolea Uvivu Rostam

Kyela: Dr. Mwakyembe amtolea Uvivu Rostam

Hivi jamani sisiemu tumepatwa na nini!? Hivi angekuwepo baba wa taifa wangefanya hayo?
 
..Mkuu Macos, Kweli Umechukia but did you have to repeat it Three Times??? teh teh
 
Macos,

heshima mbele mukulu wangu.


Kwenye post yako chini kuna edit feature.

Ukibonyeza hapo unaweza kurekebisha post yako vile unataka, pasina ulazima wa wewe kurudia kupost post hiyo hiyo mara kadhaa.

Maslahi ya Taifa mbele.
 
wacha kujaza ukurasa wewe macos MOD naomba u delete hizo tatu ibakie moja
 
Mwakiembe laana ya WaZanzibari unayo ,uliwaambia hawana adabu kwa kuwa walikuwa wakisemea mambo yao kwa uwazi na kutokumuonea haya mtu yeyote yule anaeonekana kuwanyukua ,sasa leo Je Nkuki kwa nguluwe nchanga tu ?

Kama unasikiliza ya Mbowe amesema yeyote alie ndani ya CCM ni fisadi , sasa achia ngazi na wengine wakufuate ili tuone kama unachukia rostam style,ila kubaki na kubweka huko huko ndani ya jeneza la CCM hakutakubadilisha kitu utabaki ni fisadi.
 
..binafsi nilikuwa mstari wa mbele kumlima Dr.Mwakyembe kule kwenye hoja ya mgongano wa kimaslahi.

..lakini katika huu mpambano wake na Rostam Azizi namuunga mkono Dr.Mwakyembe 100%.

..Rostam ndiye chief financier wa kampeni chafu za ki-mafioso za wanamtandao. wamewachafua watu wengi sana kama Salim Salim, John Malecela etc ili kuingia madarakani.

..nina imani ukifanyika uchunguzi wa kina kuhusu kampeni nzima ya wanamtandao, ikiwemo kutumia fedha toka nje ya nchi[Iran], tunaweza kuishia kuwa na impeachable offences.

..serikali ya mtandao wameanza kuiba tangu awamu yao ya kwanza ya uongozi. hawana hata ule "uungwana" wa Mzee Mwinyi na Mkapa wa kuchapa kazi ktk awamu ya kwanza, na kuanza kuiba na kukwapua ktk awamu ya pili.
 
Huwezi kumuunga mkono aliekuwemo ndani ya CCM,kwani kila mmoja ana yake kumshinda mwenziwe ,wote ni uoza mtupu ni lazima wapigwe na chini wote asibakie hata mazururaji.
 
..binafsi nilikuwa mstari wa mbele kumlima Dr.Mwakyembe kule kwenye hoja ya mgongano wa kimaslahi.

..lakini katika huu mpambano wake na Rostam Azizi namuunga mkono Dr.Mwakyembe 100%.

..Rostam ndiye chief financier wa kampeni chafu za ki-mafioso za wanamtandao. wamewachafua watu wengi sana kama Salim Salim, John Malecela etc ili kuingia madarakani.

..nina imani ukifanyika uchunguzi wa kina kuhusu kampeni nzima ya wanamtandao, ikiwemo kutumia fedha toka nje ya nchi[Iran], tunaweza kuishia kuwa na impeachable offences.

..serikali ya mtandao wameanza kuiba tangu awamu yao ya kwanza ya uongozi. hawana hata ule "uungwana" wa Mzee Mwinyi na Mkapa wa kuchapa kazi ktk awamu ya kwanza, na kuanza kuiba na kukwapua ktk awamu ya pili.


Lakini tujiulize haya yote anayoyaongea Mwakyembe ni kwa faida ya nani au yanatusaidiaje sisi wananchi anaotuwakilisha. Kwamba Rostam ni 'fisadi' sio geni, walilisema vizuri zaidi akina Slaa. The question is why is becoming bitter on Rostam now, especially after he (Rostam) raised the issue of his project in Singida?

Nami pia ni staunch supporter wa aina ya wabunge kama Mwakyembe, lakini nina issues naye sana, hasa tangu alipojaribu bila mafanikio kuhalalisha mauaji wananchi wasio na hatia kule Zanzibar january 2001. Kila aongeapo Mwakyembe huwa najiuliza ni yeye au anabeba ajenda ya mtu fulani? In short, can Mwakyembe stand on his own and 'be counted'.

Muhimu zaidi: Tuyapime haya aliyoyasema huko Kyela kama yana tija kwa wapiga kura wake na wananchi kwa ujumla. Kwamba anapendwa kiasi kwamba 'sisi watu wa Singida tunataka aje awe mbunge wetu', haya yana tija kweli???
 
MN, sikubaliani na dhana yako ya kutaka kuonyesha wizi ngazi ya Kitaifa athari yake ni ndogo ukilinganisha na ngazi za halmashauri. Kama unaufahamu wizi wowote ule hata kama ni ngazi ya halmashauri haujakatazwa kuuweka hapa jamvini tuujadili. Je, wizi wa EPA wa shilingi 133 billioni ulikuwa ni 10% ya kiru gani? Je, wizi wa Meremeta wa shilingi 155 billioni ulikuwa ni 10% ya kitu gani? Je, wizi wa shilingi 200 billioni uliofanywa na fisadi Rostam na makampuni yake ya kifisadi Richmond/Dowans ulikuwa ni 10% ya kitu gani!!!? Ni kosa kubwa kutaka kuonyesha wizi ngazi ya kitaifa athari yake si kubwa kama ule wa halamshauri.

Kwenye post yangu sikusema kwua wizi wa ngazi ya kitaifa ni mdogo. Nilichosema ni kuwa wizi wa ngazi ya halmashauri ni mbaya zaiai (na sidhani kama kauli hii inamaanisha kuwa wizi wa ngazi ya kitaifa si mbaya).
Kwa maoni yangu, kutokana na mfumo wa kibajeti wa siku hizi, fedha nyingi kwa ajili ya maendeleo ya moja kwa moja kwa wananchi zinapitia kwenye halmashauri. Ukiangalia ripoti ya CAG, ni asilimia 22 tu ya fedha hizi ndizo hasa hufanya kazi ya maendeleo. Sijajua katika ufisadi wa ngazi ya kitraifa ni asilimia ngapi ya fedha zinatumika moja kwa moja kwenye mipango iliyopangwa.
Kinachonifanya niuone wizi wa ngazi ya halmashauri kwua ni mbaya zaidi ni kwa sababu fedha zinazochotwa zililenga kuleta maendeleo moja kwa moja na si kama zile za ten percent ambazo sizipoenda kwa mtu binafsi zinaweza zisiingie kwenye mfuko wa moja kwa moja wa bajeti.
Ni kweli kuwa wizi ni mbaya sehemu yoyote, lakini wizi huu wa fedha zilizolenga kwuahudumia wananchi moja kwa moja, kwa maoni yangu, ni mbaya zaidi
 
Si kweli. Baba yake aliweka majaji wawili, na ni mmoja tu aliye msapoti kwenye kesi, Thomas. Mwenzake, Souter, alishageuka liberal kitambo kabla ya kesi. Unaweza kujaribu ku predict jaji atakavyo amua kwa kuangalia historia ya falsafa yake katika siasa za sheria, sio nani kamumeka.

Hakuna aliyejua atashinda kesi kwa vile "majaji wengi wamewekwa pale na baba yake." Sikonge tafadhali.


Niliteleza ila lengo lilikuwa kwamba ni Majaji wengi ni Republican au wako zaidi upande huo. Hili halikuwa muhimu sana anayway. Ila mzee wa SPINNING katika yote hayo kaona hilo. Ungeliandika tu yale ya juu ningelijua ni katika kuelekezana (lengo la JF) ila hiyo nimeweka NYEKUNDU, duuu!!! Utafikiri mtu kakaa wee anakusubiri ufanye tu kosa, huyoo kashakurukia koo. Kuhani, TAFADHALI!!!

Hata Tanzania unaweza kukuta majaji wengi wamewekwa na Mkapa/Mwinyi. Ila bado inakuwa ni CCM walewale. Sasa hapa inatosha tu kukumbushana. Wengine hatuweki kichwani kila siku mambo haya tu. Kuna siku nyingine inabidi kuweka kichwani uzito na upana wa AIRBUS 380, ili uwanja mpya wa Dodoma na Dar es salaam uweze kuhilimi dege hilo siku likishuka hapo. So, Kuhani, PULIZIIIII!!!!!!!!!!!
 
hawa akina Mwa wana umoja duh!

mwakipesile,mwakyembe,mwakanjala,mwasote,mwakilanga

gotta give it to watu wa Mbeya mtu wenu mnae to the end

Ugomvi uko kwetu sisi wa Pwani...kidogo ukishaboa tuu bas tunakuacha waku hang maana hatuna muda wa kujibizana kama huamini muulizeni yule mzaramo wa kujipaticha...aka BANGUSILO

Wewe mkuu Game Theory,

Wacha kuharibu majina ya watu Mwakanjala ndio nini? Hiyo ni Mwakyanjala.
Hakuna mwakilanga kuna Mwakalinga.

Hiyo Mwasote atakuwa Mzaramo wa kwenu huyo.
 
Nsesi na Engineer.

Habari zenu zinapishana. Au wote mko sawa ila kila mtu aliona kipande au mmoja wenu anadanganya. Na au wote mwadanganya. Time will tell who!!!
 
....Rostam ndiye chief financier wa kampeni chafu za ki-mafioso za wanamtandao. wamewachafua watu wengi sana kama Salim Salim, John Malecela etc ili kuingia madarakani.

Okay JokaKuu aka Anaconda aka Reticulated Python....that above is a statement of fact. Now, can you back it up with indisputable proof?
 
Huwezi kumuunga mkono aliekuwemo ndani ya CCM,kwani kila mmoja ana yake kumshinda mwenziwe ,wote ni uoza mtupu ni lazima wapigwe na chini wote asibakie hata mazururaji.
Du! Hizi ni nadharia za ufashisti. Hivi wewe una amini juu ya demokrasia? na haki zinazotakana na uadilifu wa kisanduku cha kura. Nakushangaa kwa nini ukatae matakwa ya wengi ambao kwa kutumia kisanduku cha kura huwa wanaiafiki CCM?
 
Ngw'aninyami said:
Okay JokaKuu aka Anaconda aka Reticulated Python....that above is a statement of fact. Now, can you back it up with indisputable proof?

Ngw'aninyami,

..tunahitaji insiders kama wale wa kwenye kashfa ya Richard Nixon ya Watergate to bring to the light jinai zilizofanywa na wanamtandao.
 
...Rostam ndiye chief financier wa kampeni chafu za ki-mafioso za wanamtandao. wamewachafua watu wengi sana kama Salim Salim, John Malecela etc ili kuingia madarakani.

Ngw'aninyami,

..tunahitaji insiders kama wale wa kwenye kashfa ya Richard Nixon ya Watergate to bring to the light jinai zilizofanywa na wanamtandao.

JokaKuu, unaona jinsi unavyoji contradict mwenyewe?
 
Kitila Mkumbo said:
Lakini tujiulize haya yote anayoyaongea Mwakyembe ni kwa faida ya nani au yanatusaidiaje sisi wananchi anaotuwakilisha. Kwamba Rostam ni 'fisadi' sio geni, walilisema vizuri zaidi akina Slaa. The question is why is becoming bitter on Rostam now, especially after he (Rostam) raised the issue of his project in Singida?

Nami pia ni staunch supporter wa aina ya wabunge kama Mwakyembe, lakini nina issues naye sana, hasa tangu alipojaribu bila mafanikio kuhalalisha mauaji wananchi wasio na hatia kule Zanzibar january 2001. Kila aongeapo Mwakyembe huwa najiuliza ni yeye au anabeba ajenda ya mtu fulani? In short, can Mwakyembe stand on his own and 'be counted'.

Muhimu zaidi: Tuyapime haya aliyoyasema huko Kyela kama yana tija kwa wapiga kura wake na wananchi kwa ujumla. Kwamba anapendwa kiasi kwamba 'sisi watu wa Singida tunataka aje awe mbunge wetu', haya yana tija kweli???

Kitila,

..hata mimi Dr.Mwakyembe aliniboa sana alivyodai kuna ktk ile Ripoti yake kuna mambo ameyaficha ili serikali isiaibike.

..mimi naamini kuisetiri serikali hii iliyopo hakuwezi kuwa na manufaa kwetu sisi wananchi.

..sasa kama huu ugomvi wa Rostam na Dr.Mwakyembe, unaweza kumlipua Dr.Mwakyembe mpaka kufikia kuropokwa yale aliyoyaficha kwenye ripoti yake basi wacha uendelee.

..mbele ya safari tutaweza ku-deal na Dr.Mwakyembe, lakini kwasasa inaonekana he is the only CCM MP with the courage[to some naivete] to take on Rostam Aziz.

NB:

..Dr.Mwakyembe asisikilize kabisa watu kama Mzee Cygwiyemwishi Malecela ambaye amekuwa kama punching bag huko CCM.
 
Kwenye post yangu sikusema kwua wizi wa ngazi ya kitaifa ni mdogo. Nilichosema ni kuwa wizi wa ngazi ya halmashauri ni mbaya zaiai (na sidhani kama kauli hii inamaanisha kuwa wizi wa ngazi ya kitaifa si mbaya).Kwa maoni yangu, kutokana na mfumo wa kibajeti wa siku hizi, fedha nyingi kwa ajili ya maendeleo ya moja kwa moja kwa wananchi zinapitia kwenye halmashauri. Ukiangalia ripoti ya CAG, ni asilimia 22 tu ya fedha hizi ndizo hasa hufanya kazi ya maendeleo. Sijajua katika ufisadi wa ngazi ya kitraifa ni asilimia ngapi ya fedha zinatumika moja kwa moja kwenye mipango iliyopangwa.
Kinachonifanya niuone wizi wa ngazi ya halmashauri kwua ni mbaya zaidi ni kwa sababu fedha zinazochotwa zililenga kuleta maendeleo moja kwa moja na si kama zile za ten percent ambazo sizipoenda kwa mtu binafsi zinaweza zisiingie kwenye mfuko wa moja kwa moja wa bajeti.
Ni kweli kuwa wizi ni mbaya sehemu yoyote, lakini wizi huu wa fedha zilizolenga kwuahudumia wananchi moja kwa moja, kwa maoni yangu, ni mbaya zaidi

Hakuna wizi mzuri uwe katika ngazi ya Taifa au katika halmashauri wote madhara yake ni yale yale ya kuendelea kuwakosesha Watanzania huduma muhimu wanazostahili.
 
Ngw'aninyami,

..ndio nimeona ninavyoji-contadict mwenyewe.

..kesi ya wanamtandao ni kama zile kesi za mauaji ya African Americans in the USA.

..kinachohitajika ni mtu mmoja tu a "snitch."
 
Back
Top Bottom