Sikonge,
Mkuu wangu swala la mzizi wa ufisadi kuwa Kikwete sikubaliani nao hata kidogo..Ufisadi nchini sii mti ila ni magugu ktk mimea yetu ambayo tumeipanda..Hatukupanda mbegu za Ufisadi, hakuna mti hapa mkuu wangu na kama upo basi hauna madhara isipokuwa ni faida kwetu kupata kivuli..
Rostam ni magugu yaliyoota ndani na mazao yetu, kila maji tunayomwagilia mimea yetu magugu haya hunyonya maji kwa sababu yana mizizi mirefu inayoingia na kupishana na ile ya mimea yetu hivyo... kazi moja tu kuzing'oa mmoja mmoja kama ilivyo desturi yetu...
Zambia, Malawi na hata Zimbabwe wao waliupanda mti huo wenyewe, Hakuna businessman hata mmoja ambaye alikuwa na sauti nchini mwao Ni mtawala mmoja anaamua kuwa fisadi kwa kutumia kiti cha Ikulu kama vile Moi na Mkapa hawa unapokata mizizi yao mti mzima huondoka..Lakini mkuu wangu mzingira ya Ufisadi nchini kwetu sii ya mtu mmoja au kiongozi mmoja ni MAFIA gang... na siku zote Mafia zina faida na hasara zake hivyo unaanza na mtu mmoja mmoja pindi unapokusanya ushahidi..Rostam is the Hitman, The fixer na majina yote unayoweza kumpa na ndiye anayeunganisha misheni zote ndani na nje ya chama..Ndiyo sababu kubwa ya kupewa Mweka fedha wa Chama CCM mtu ambaye hana CPA wala sidhani kama ana NAD..nitarudia kusema kumbuka ile sinema ya Untouchables, pale stesheni walipomkamata yule mhasibu..Mchezo mkali sana.
Kwa hiyo mazingira ya nchi hizo ktk kile tunachopigana nacho ni tofauti kabisa.. Kama ingelikuwa Mkapa ndio mzizi ningekubaliana na mawazo yenu na kama tulifanya makosa basi ni wakati wa Mkapa.. sasa hivi tunacheza na Mafia nzima sii Lowassa pekee wala Rostam pekee wapo wengi wamejipanga na wengine tunao humu humu JF.. Hapa wanapita na pengine wengine wanaulizana huyu Mkandara ndio nani? anajiamini vipi!.. ebu tupeni habari zake na kuna wajinga wanakwenda puta..
Hivyo nachotaka uelewe ni kwamba Ufisadi nchini sio mti kama kina Chiluba bali ni magugu ambayo yameota pamoja na mazao yetu.. Ni lazima tuyang'oe kwa mpangilio pekee!
Mkuu wangu swala la mzizi wa ufisadi kuwa Kikwete sikubaliani nao hata kidogo..Ufisadi nchini sii mti ila ni magugu ktk mimea yetu ambayo tumeipanda..Hatukupanda mbegu za Ufisadi, hakuna mti hapa mkuu wangu na kama upo basi hauna madhara isipokuwa ni faida kwetu kupata kivuli..
Rostam ni magugu yaliyoota ndani na mazao yetu, kila maji tunayomwagilia mimea yetu magugu haya hunyonya maji kwa sababu yana mizizi mirefu inayoingia na kupishana na ile ya mimea yetu hivyo... kazi moja tu kuzing'oa mmoja mmoja kama ilivyo desturi yetu...
Zambia, Malawi na hata Zimbabwe wao waliupanda mti huo wenyewe, Hakuna businessman hata mmoja ambaye alikuwa na sauti nchini mwao Ni mtawala mmoja anaamua kuwa fisadi kwa kutumia kiti cha Ikulu kama vile Moi na Mkapa hawa unapokata mizizi yao mti mzima huondoka..Lakini mkuu wangu mzingira ya Ufisadi nchini kwetu sii ya mtu mmoja au kiongozi mmoja ni MAFIA gang... na siku zote Mafia zina faida na hasara zake hivyo unaanza na mtu mmoja mmoja pindi unapokusanya ushahidi..Rostam is the Hitman, The fixer na majina yote unayoweza kumpa na ndiye anayeunganisha misheni zote ndani na nje ya chama..Ndiyo sababu kubwa ya kupewa Mweka fedha wa Chama CCM mtu ambaye hana CPA wala sidhani kama ana NAD..nitarudia kusema kumbuka ile sinema ya Untouchables, pale stesheni walipomkamata yule mhasibu..Mchezo mkali sana.
Kwa hiyo mazingira ya nchi hizo ktk kile tunachopigana nacho ni tofauti kabisa.. Kama ingelikuwa Mkapa ndio mzizi ningekubaliana na mawazo yenu na kama tulifanya makosa basi ni wakati wa Mkapa.. sasa hivi tunacheza na Mafia nzima sii Lowassa pekee wala Rostam pekee wapo wengi wamejipanga na wengine tunao humu humu JF.. Hapa wanapita na pengine wengine wanaulizana huyu Mkandara ndio nani? anajiamini vipi!.. ebu tupeni habari zake na kuna wajinga wanakwenda puta..
Hivyo nachotaka uelewe ni kwamba Ufisadi nchini sio mti kama kina Chiluba bali ni magugu ambayo yameota pamoja na mazao yetu.. Ni lazima tuyang'oe kwa mpangilio pekee!