OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,220
- 103,815
Wakati fulani nilienda South Africa kwenye madeal binafsi na kiofisi. Kule nilipata wasaa wa kuhudhuria ibada ya nabii mmoja anayetokea Tanzania akifanya huduma zake Afrika Kusini.
Siku hiyo ilikuwa ibada ya wahitaji toka nchi mbalimbali za kigeni. Walikuwepo watu kutoka Zambia, Ghana, Africa mashariki. Wachache wakitoa UK na kijana mmoja toka USA mwenye asili ya Afrika.
Pale kila mtu anakuwa na bango akiwa ameandika matatizo yake anayotaka aombewe. Kwa hiyo unaweza kuona shida za mwenzio. Basi mnakaa mstari mnaanza kuombewa uponyaji kwa jina la Yesu.
Nikabahatika kuona bango la kijana mwenzangu mmoja. Yeye aliandika tatizo moja tu, kwamba Excessive Mastabation yaani ana shida ya kupiga puli kuliko kawaida.
Mwanzo niliona kama huyu jamaa anataka kuleta masikhara. Alipofikiwa na Nabii ikabidi kwanza ahojiwe kabla ya kuombewa. Hapo ndio nikapata uelewa kumbe puli ni tatizo serious sana kwa vijana na mabroo. Jamaa anasema anaweza kupiga puli hata mara 5 kwa siku. Kuna wakati anaweza kuwa kazini, akipata hisia anaenda washroom na simu anachukua porno anapiga puli.
Basi Nabii akamuombea sana, sijui kama alipona hiyo hali au lah.
Siku hiyo ilikuwa ibada ya wahitaji toka nchi mbalimbali za kigeni. Walikuwepo watu kutoka Zambia, Ghana, Africa mashariki. Wachache wakitoa UK na kijana mmoja toka USA mwenye asili ya Afrika.
Pale kila mtu anakuwa na bango akiwa ameandika matatizo yake anayotaka aombewe. Kwa hiyo unaweza kuona shida za mwenzio. Basi mnakaa mstari mnaanza kuombewa uponyaji kwa jina la Yesu.
Nikabahatika kuona bango la kijana mwenzangu mmoja. Yeye aliandika tatizo moja tu, kwamba Excessive Mastabation yaani ana shida ya kupiga puli kuliko kawaida.
Mwanzo niliona kama huyu jamaa anataka kuleta masikhara. Alipofikiwa na Nabii ikabidi kwanza ahojiwe kabla ya kuombewa. Hapo ndio nikapata uelewa kumbe puli ni tatizo serious sana kwa vijana na mabroo. Jamaa anasema anaweza kupiga puli hata mara 5 kwa siku. Kuna wakati anaweza kuwa kazini, akipata hisia anaenda washroom na simu anachukua porno anapiga puli.
Basi Nabii akamuombea sana, sijui kama alipona hiyo hali au lah.