Kwenye Katiba mpya kiwekwe kipengele cha kupima IQ ya Mgombea Urais na Makamu wake

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,360
11,510
Zipo namna nyingi mojawapo ni pamoja na kuuliza maswali ya kawaida ya uelewa. Uwezo wakujieleza kwa kuongea na kuandika pia.

Umakini katika maandiko na kugundua makosa, ufahamu katika taarifa muhimu za kitaifa, kimataifa, uchumi, afya, siasa na utamaduni.

Uelewa wa katiba ya nchi na kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia katiba, sheria, utamaduni, busara na hekima.

Haya mambo nmeona ni muhimu maana kwa sasa every tom,dick and harry could be a president of tanzania provided kuna watu wameamua akae pale.

Unakuja msikia rais anaongea unashangaa, jana alisema hili na leo anasema lile. Unakuta zamani aliwahi fanya/sema lile leo anasema hili. Rais hajielewi hata urais unataka aweje.

Hafahamu katiba inamtaka aamue vipi. Anayumba anaendeshwa,ana mihemko hayupo smart katika mambo mengi.

Hii inasababisha Taifa liwe na Rais ambaye tutamtetea ana shauriwa vibaya, anahujumiwa na hajazoea bado urais.
 
Una hoja ya msingi sana, kwenye Katiba mpya tuangalie namna bora ya kumpima mgombea wetu wa Urais, mbali na elimu yake lakini ni lazima vilevile tuangalie uwezo wake wa kuelewa mambo yaani kwa kimombo inajulikana kama intelligence quotient, (IQ)
 
Una hoja ya msingi sana, kwenye Katiba mpya tuangalie namna bora ya kumpima mgombea wetu wa Urais, mbali na elimu yake lakini ni lazima vilevile tuangalie uwezo wake wa kuelewa mambo yaani kwa kimombo inajulikana kama intelligence quotient, (IQ)
Mkuu hili neno la kutaka 'katiba mpya' utapata kesi mbili bab kubwa kwa mpigo shauri yako!
Kutakatisha fedha
uhujumu uchumi plus ugaidi
 
Mleta mada umesema jambo la maana sana watu wanaotumia r panapopaswa kuwa na l wasipewe nafasi utakuta mtu badala ya kusema nileteeni Gwajima anasema nireteeni Gwajima
 
Ni wazo zuri kwa kuwa huko nyuma tumewahi kumkabidhi uraisi kichaa. Ni bora uchunguzi wa kina ufanywe kwa wagombea kupima afya zao za akili na uwezo wao wa akili. Haya mavyeti tu hapana,hayatoshi. Mengine wanayanunua tu kwakuhonga maprofesa.
 
Zipo namna nyingi mojawapo ni pamoja na kuuliza maswali ya kawaida ya uelewa. Uwezo wakujieleza kwa kuongea na kuandika pia.

Umakini katika maandiko na kugundua makosa, ufahamu katika taarifa muhimu za kitaifa, kimataifa, uchumi, afya, siasa na utamaduni.

Uelewa wa katiba ya nchi na kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia katiba, sheria, utamaduni, busara na hekima.

Haya mambo nmeona ni muhimu maana kwa sasa every tom,dick and harry could be a president of tanzania provided kuna watu wameamua akae pale.

Unakuja msikia rais anaongea unashangaa, jana alisema hili na leo anasema lile. Unakuta zamani aliwahi fanya/sema lile leo anasema hili. Rais hajielewi hata urais unataka aweje.

Hafahamu katiba inamtaka aamue vipi. Anayumba anaendeshwa,ana mihemko hayupo smart katika mambo mengi.

Hii inasababisha Taifa liwe na Rais ambaye tutamtetea ana shauriwa vibaya, anahujumiwa na hajazoea bado urais.
Ninakubaliana nawe 100%
 
Yule ndio alikuwa rais, Labda ulimchukia kwa sababu zako binafsi
Ni wazo zuri kwa kuwa huko nyuma tumewahi kumkabidhi uraisi kichaa. Ni bora uchunguzi wa kina ufanywe kwa wagombea kupima afya zao za akili na uwezo wao wa akili. Haya mavyeti tu hapana,hayatoshi. Mengine wanayanunua tu kwakuhonga maprofesa.
 
Back
Top Bottom