Kweli malipo duniani, ahera kuhesabiwa

Kweli malipo duniani, ahera kuhesabiwa

Usingenyamaza kimya ghafla.. ungemuwinda tu hawachelewagi kukosea hao, ungepata sababu ya kumuacha na ye akijua kaachwa
Dhana ya malipo ni hapa hapa huielewi eeh? Analipa Mungu sio sisi wanaume, na Mungu ili alipe anaangalia ya moyon mwako. So angevizia jamaa akosee ndioo amuache ila nayeye lazima tu angekutana na mshahara wa Mungu😃 yaleyale
 
Nimemkumbuka mke wa mc pilipili, masikini ya MUNGU, alikua analringa huyo dada, kumpiga matukio mc pilipili, malipo yake Leo hii anampigia simu mwanaume, tena anambembeleza, wawe na mahusiano, sijui jamaa kaichapa kapiga chini demu Hadi ana Lia jamaa ana mrekodi anasambaza, Kuna maisha hua tunayachezea ila umri Fulani ukifika ndo majuto huanza, Kwa sasa umri una ruhusu, tunachukulia poa ila baadae VILIO kama lote
 
Nimemkumbuka mke wa mc pilipili, masikini ya MUNGU, alikua analringa huyo dada, kumpiga matukio mc pilipili, malipo yake Leo hii anampigia simu mwanaume, tena anambembeleza, wawe na mahusiano, sijui jamaa kaichapa kapiga chini demu Hadi ana Lia jamaa ana mrekodi anasambaza, Kuna maisha hua tunayachezea ila umri Fulani ukifika ndo majuto huanza, Kwa sasa umri una ruhusu, tunachukulia poa ila baadae VILIO kama lote
Mapenzi kwa zama hizi ukiamua kulia utalia Sana.
Me kwa kweli naishi nje ndani.
Alafu huyo pilipili mwenyewe mbona alikuwa anampiga mkewe matukio Hadi akawa ana appear kwa mange
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom