It seems mzani wa mapenz ulielemea kwake zaid kuliko kwako.Mubaba wa 50yrs ni mvulana?
Hapana alinikuta tu Niko moodless yani sikutaka tu Mambo mengi
Umenifurahisha ndiyo maana mimi na Jitahidi kusema … tooKila mtu ni dhaifu akipenda. hasa yule anaekaa upande wa I love You 😀😀
Bora uwe unavizia upande wa I love u too
Me naumia siku 2 tu ya tatu nakuwa kama sijawah kupenda...It seems mzani wa mapenz ulielemea kwake zaid kuliko kwako.
Yeye ndio alikuwa ana mahaba tele.
Ila sasa na zamu hii ww ndio una mahaba tele kwa jamaa mwingine.
Basi ili kupona mkubalie jamaa mwingne mwenye mahaba tele kwako 😂😂😂😂😂
Unaumiaje mwenyewe?. Hebu liza tena mtoto mwingne wa ma mkwe.
Mubaba wa 50yrs ni mvulana?
Hapana alinikuta tu Niko moodless yani sikutaka tu Mambo mengi
Mimi sitongozagi mara mbili, nikikutongoza ukizingua imeisha hioooo, na tukianza kudeti sikutafuti mara mbili, ukizingua nakaushaaa utantafuta mwenyeweJaman za jioni?
Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....
Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.
Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.
Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.
Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.
Shift ya usiku?Jamani nitawakuta ngoja nkaokote 200 300
Umenichezea umeona haitoshi umeamua kunifungulia uzi 🙃🥹Jaman za jioni?
Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....
Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.
Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.
Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.
Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.
Mwamba kala bila kunawa halafu alivyo mshenzi kamaliza sahani kaiacha mezani ikiwa na makombo kapita hivi bila kuaga na ukijichekesha mwamba hacheki sura ya MbuziAlijua kulalamika asee alaf me nkawa sijali wala nini. Kama mwezi hivi analia Lia. Sasa nimekutana na mwamba kabisa yaleyale ndo yamenigeukia. Sema nini sijali wala nini
Aiseee kama uko kichwani kwangu, nimetoka kumwambia hivyo mtu leo🤣🤣🤣Usingenyamaza kimya ghafla.. ungemuwinda tu hawachelewagi kukosea hao, ungepata sababu ya kumuacha na ye akijua kaachwa
Kadiri unavyo onesha kumpenda mwanamke ndivyo anavyo punguza kukupenda au kutamani kuwa nawe, kinyume chake vivyo hivyo.Alijua kulalamika asee alaf me nkawa sijali wala nini. Kama mwezi hivi analia Lia. Sasa nimekutana na mwamba kabisa yaleyale ndo yamenigeukia. Sema nini sijali wala nini
Mwamba kakupiga tukio la kufunga mwaka mpaka umejikumbuka mtenda hutendwaSisi wengine kwenye kazi zetu kila siku tunakutana na watu so sio shida zetu...
Me naumia siku 1 au 2 baada ya hapo wala .. Sema nimejicheka tu kwa sauti
Wazee ni kawaida yao kujiperembesha kwa damu changa.Aaah wapi mubaba kabisa yule
Wapo wengi tu.Miaka hii bado kuna watu wanalilia mapenzi? Huyo mshkaji itakua labda ni mara yake ya kwanza kupenda.