Kweli malipo duniani, ahera kuhesabiwa

Kweli malipo duniani, ahera kuhesabiwa

Mubaba wa 50yrs ni mvulana?
Hapana alinikuta tu Niko moodless yani sikutaka tu Mambo mengi
It seems mzani wa mapenz ulielemea kwake zaid kuliko kwako.
Yeye ndio alikuwa ana mahaba tele.

Ila sasa na zamu hii ww ndio una mahaba tele kwa jamaa mwingine.

Basi ili kupona mkubalie jamaa mwingne mwenye mahaba tele kwako 😂😂😂😂😂

Unaumiaje mwenyewe?. Hebu liza tena mtoto mwingne wa ma mkwe.
 
It seems mzani wa mapenz ulielemea kwake zaid kuliko kwako.
Yeye ndio alikuwa ana mahaba tele.

Ila sasa na zamu hii ww ndio una mahaba tele kwa jamaa mwingine.

Basi ili kupona mkubalie jamaa mwingne mwenye mahaba tele kwako 😂😂😂😂😂

Unaumiaje mwenyewe?. Hebu liza tena mtoto mwingne wa ma mkwe.
Me naumia siku 2 tu ya tatu nakuwa kama sijawah kupenda...
Nshaumia Sana kwa Mambo ya msingi Sana nje ya mapenzi kiasi moyo ushakomaa
 
Jaman za jioni?

Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....

Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.

Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.

Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.

Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.
Mimi sitongozagi mara mbili, nikikutongoza ukizingua imeisha hioooo, na tukianza kudeti sikutafuti mara mbili, ukizingua nakaushaaa utantafuta mwenyewe

Uniombe pesa mimi, kukuhudumia nikuhudumie Mimi then nikutafute wa nini???? wa kazi Gani?????.

Usiponicheki wewe imeishaaaa hiyo watanicheki wengine.

Afu sibembelezagi mwanamke, wanawake wapo wengi sana na wanaume tupo wachache sana na hapo Bado hatujawatoa mashoga na wazee wasiodindisha.

Asaivi mtoto wa kike ukitongozwa ukakataa anayekutongoza harudi Tena.
 
Jaman za jioni?

Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....

Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.

Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.

Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.

Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.
Umenichezea umeona haitoshi umeamua kunifungulia uzi 🙃🥹
 
Alijua kulalamika asee alaf me nkawa sijali wala nini. Kama mwezi hivi analia Lia. Sasa nimekutana na mwamba kabisa yaleyale ndo yamenigeukia. Sema nini sijali wala nini
Mwamba kala bila kunawa halafu alivyo mshenzi kamaliza sahani kaiacha mezani ikiwa na makombo kapita hivi bila kuaga na ukijichekesha mwamba hacheki sura ya Mbuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom