NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
Naona watu mnaflow humu ndani si mchezo... Kitu imekaa ka kigiriki
Tatigha!!
Tatigha!!
Oranyore ona ishing'ombe, nuwe nkeghanya ushe ontete, nkerenge mwiseke.
Kabisa mkuu umenena.Hii post yako umefanya nimekumbuka ile post ya kichuri,amarura hotel!!Achana naye, mbona Nyantira, Kemakorere, Sirari, Borega, Nyasincha, Nyamongo, Nyamwaga kuna warembo???
Dah.... Ukabila ni dhambi mbaya sana!!
umini-impress sana kwa kuyatamka kwa ufasaha maeneo haya!! nkohanchele mwiseke!
Kabisa mkuu umenena.Hii post yako umefanya nimekumbuka ile post ya kichuri,amarura hotel!!
Hahahaaaaaaa.... Usinikumbushe mkuu! Tena asubuhi asubuhi kama saiv washapika ugali na nyama iliyononaaaaa......
Hahahaaaaaa... Kwani kuyatamka kwa ufasaha ndio kuzaliwa huko???
Hivi ni.vijiji vilivyopo mkoani Lindi Mkwajuni, Likongo, Likwaya,
Madingo, Muungano, Mandwanga,
Njonjo, Mtegu, Namunda na
Nandambi sasa napo utasema mie ni Mmakonde????
Jamani mimi ni kijana mwenye miaka 28 baada ya kumaliza masomo nimepata kazi hapa mjini, sasa nikaamua kutafuta mke ili nioe niache kumbwela mbwela nisije kufa kwa ngoma, nimepata mtoto wa kihehe wa kule mafinga tayari nimempeleka kwetu(Tarime) na amekubalika kwa wazazi wangu, kimbembe kimekuja baada ya kwenda kwao wazazi wake wamekataa wamesema mtoto wao hawezi kuolewa na mkurya kwani eti si watu wazuri wanapiga wanawake na ni wakorofi, nifanyeje kwa sababu nampenda sana huyu binti.
Jamani mimi ni kijana mwenye miaka 28 baada ya kumaliza masomo nimepata kazi hapa mjini, sasa nikaamua kutafuta mke ili nioe niache kumbwela mbwela nisije kufa kwa ngoma, nimepata mtoto wa kihehe wa kule mafinga tayari nimempeleka kwetu(Tarime) na amekubalika kwa wazazi wangu, kimbembe kimekuja baada ya kwenda kwao wazazi wake wamekataa wamesema mtoto wao hawezi kuolewa na mkurya kwani eti si watu wazuri wanapiga wanawake na ni wakorofi, nifanyeje kwa sababu nampenda sana huyu binti.
Aje na huku wilaya ya Serengeti kuna warembo wazuri tu, anzia Mgeta, Kyandege, Salama A, Salama B,Isenye, Natta, Fort Ikoma, Nyakitono, Nyichoka, Burunga mpaka Mugumu mjini wamejaa warembo aache kuhangaika na hao wabaguziAchana naye, mbona Nyantira, Kemakorere, Sirari, Borega, Nyasincha, Nyamongo, Nyamwaga kuna warembo???
Dah.... Ukabila ni dhambi mbaya sana!!
yan hata ingekuwa kwetu nauhakika ungekataliwa,am nat supporting ukabila,lakini kuna kaz sana kuondoa sifa flan flan ambazo jamii haijakubali kuhusu wakurya lakin sasa ndo ivo wachache wanawaponza nyie wengine msio na tabia hizo