brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Watu aina yako mimi ninawashangaa kabisa, ungemkataa wewe ama kwenu wangemkataa, mbona nashidwa kukupata hapa. Maana ninacojua hapa wanaooana ni mke na mme ambao wamependana na kukubaliana wenyewe pasipo kulazimishwa na mtu yeyeto, sasa unaposema kwenu wasingekubali napata shida, inakuwa as if wao ndio wanaolewa.
Kama na wewe dada unaamini hivyo, basi hata wewe ni mkabila, hilo usipinge kabisa. Ila mnachotakiwa kufanya ni kufahamiana mapema, mwenzangu unatokea wapi (say ukanda, mkoa nk), kabila lako nk, then ukiona wewe ni mkabila basi unamkataa mapema katika hatua za awali ili kuepuka hizi sintofahamu za kwamba kwetu watamkataa nk, as if wao ndio waoaji ama waolewaji.
Wazazi nao wabadilike wawape vijana uhuru wa kijichagulia wenza wa maisha yao wenyewe. sasa kama huyo binti sasa anayezungumziwa kwenye thread hii ikitokea kwao wasibadili msimamo naye akawawafuta ana kazi nyingine tena ya kuingia sokoni ili aweze kupatwa na mwingine ili hali alishajua hiyo kazi imekwisha, wanampoteza muda na kumpa stress bure. Alikwisha mzoea mwenzake, walishaenda hadi kwao Tarime, this means wanaishi kama mme na mke, then mnawatenganisha, what for, mnatengeneza nyumba ndogo unnecessarily maana hao hawawezi kuacha kushare mapenzi hata wasipoana.
nahisi bado hujanielewa,nimeongelea upande wa wazazi wangu pia wasinge kubali sijaongelea mimi kumkataa mkurya lakin nimejarib kurelate kama ningekuwa huyo dada na kumpeleka kijana kwetu yangetokea ayo ayo,main point nataka kusema kuna familia nyingi zingefanya maamuzi kama ya familia ya huyo dada,lakini bado mimi ninayeolewa i have a final say,hapa nilipo nadate mkurya kama ikifika stage ya ndoa najua wazaz watapinga lakin mie ndo nimemridhia hope umenielewa sasa