ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,004
- 9,081
Wale miamba weusi wasio na ndugu oman watakuja kua kama sudan ile ya albashir maendeleo ni kwa waarabu na machotara kuvimba bara hawataweza maana watakua kama wakenya au waganda mfano hai chek tu kkoo ni wazanzibar gan wako njema na origin ya udon wao , hawa wamatumbi wanaingizwa tu mkengeMkuu
Naona una ota
Nani amekwambia Zanzibar ikipata haki yake ya kujitawala italia na kusaga meno maana sijakuelewa kabisa
Yaani uogopeshaji wa kitoto sana huu
Nchi huru huiguswi na ina haki ya kujilinda kwa chochote na sheria za dunia ya leo hairuhusu kuvamia nchi kijinga kijinga na kuataka kuua watu
Utakua na matatixo ya akili mahali
Au una tatizo la Tanganyika-Superiority beyond reality....
Tanganyika au Zanzibar extremism kama hii yako hapa ni tatizo....
Hii superiority ndio italeta matatizo