ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,048
- 49,731
Hii kama sio muendelezo wa Akili mbovu za mtu mweusi(Black Africans) ni nini?
Licha ya Historia kuoneshwa wazi kwamba watu weusi waliozaliwa Mataifa mengine Nje ya Bara la Afrika kwamba mababu zao walipelekwa utumwanj kwenye Nchi waliko na ndio ikapelekea kizazi Chao kuwepo huko ila wao Sasa hawataki kutambuliwa kama black Africans badala yake wametunga majina mengi ya kisengerema eg Afro Americans,Afro Brazilians nk.
Hivi inawezekana Watu weusi waliumbwa na ka laana Fulani kiasi ya kujataa Asili na utambulisho wao licha ya rangi ya ngozi Yao kuwatambulisha Asili Yao?.
Ni utumwa kukataa Asili Yako.Umewahi sikia Wayahudi au watu wa Mataifa mengine wanakataa Asili Yao? Utaahira.
View: https://youtu.be/E-V8lYK7wpw?si=L36ynPp8jT7Ia2OG
Licha ya Historia kuoneshwa wazi kwamba watu weusi waliozaliwa Mataifa mengine Nje ya Bara la Afrika kwamba mababu zao walipelekwa utumwanj kwenye Nchi waliko na ndio ikapelekea kizazi Chao kuwepo huko ila wao Sasa hawataki kutambuliwa kama black Africans badala yake wametunga majina mengi ya kisengerema eg Afro Americans,Afro Brazilians nk.
Hivi inawezekana Watu weusi waliumbwa na ka laana Fulani kiasi ya kujataa Asili na utambulisho wao licha ya rangi ya ngozi Yao kuwatambulisha Asili Yao?.
Ni utumwa kukataa Asili Yako.Umewahi sikia Wayahudi au watu wa Mataifa mengine wanakataa Asili Yao? Utaahira.
View: https://youtu.be/E-V8lYK7wpw?si=L36ynPp8jT7Ia2OG