Kwanini Watumishi wa Umma wanaendelea kutumika kwenye Uchaguzi licha ya Mahakama ya Afrika kuitaka Tanzania kubadili kifungu hicho?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,280
Moja ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wadau wa demokrasia nchinina kitendo cha Tume kutumia watumishi wa umma katika michakato ya kiuchaguzi.

Kwa mujibu wa kifungu cha 21 cha Mswada, Tume itaendelea kutumia aukuazima watumishi wa umma kuwa wasimamizi wa uchaguzi, kwa lugha nyingine wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Mamlaka za Miji Midogo, Mamlaka za Miji, Manispaa na Majiji, Watendaji wa Kata, walimu na watumishi wengine wa serikali wataendelea kuwa sehemu ya wasimamizi wa uchaguzi ingawa neno lililotumika ni kuazima lakini ukweli ni kwamba watumishi wa umma wataendelea kuwa sehemu ya Tume kinyume na matarajio ya wadauwalio wengi.

Uchaguzi Huru na wa Haki utabaki kuwa Historia ya Mdomoni kwa namna hii!
 
Watumishi wa umma ni rahisi kupatikana na ni rahisi kumwajibisha na hawezi kukimbia na box la kura , umpe raia box la kura akichoma au akitoweka nalo utampata wapi?
Nadhani ni hivi ,TUME itatangaza nafasi za muda za kusimamia uchaguzi,watumishi wa imma watakaopata ajira watakuwa "seconded/wataazimwa na tume.Na kazi ya uchaguzi ikikamilika watarudi kwenye nafasi zao.
 
Moja ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wadau wa demokrasia nchinina kitendo cha Tume kutumia watumishi wa umma katika michakato ya kiuchaguzi.

Kwa mujibu wa kifungu cha 21 cha Mswada, Tume itaendelea kutumia aukuazima watumishi wa umma kuwa wasimamizi wa uchaguzi, kwa lugha nyingine wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Mamlaka za Miji Midogo, Mamlaka za Miji, Manispaa na Majiji, Watendaji wa Kata, walimu na watumishi wengine wa serikali wataendelea kuwa sehemu ya wasimamizi wa uchaguzi ingawa neno lililotumika ni kuazima lakini ukweli ni kwamba watumishi wa umma wataendelea kuwa sehemu ya Tume kinyume na matarajio ya wadauwalio wengi.

Uchaguzi Huru na wa Haki utabaki kuwa Historia ya Mdomoni kwa namna hii!
Masuala ya ndani ya Tanzania, yataamuliwa na waTanzania wenyewe ndani ya Tanzania huru.

Hayupo wa kutoka nje ya Tanzania kuielekeza Tanzania kwamba, hili zuri lakini rekebisha liwe vile au hili baya rekebisheni liwe hivi na lazima mfanye liwe hivi, no no no no. Huyo hayupo kabisa.

For academic, activism and feminism purposes well and good, rukhsaa....
 
Masuala ya ndani ya Tanzania, yataamuliwa na waTanzania wenyewe ndani ya Tanzania huru.

Hayupo wa kutoka nje ya Tanzania kuielekeza Tanzania kwamba, hili zuri lakini rekebisha liwe vile au hili baya rekebisheni liwe hivi na lazima mfanye liwe hivi, no no no no. Huyo hayupo kabisa.

For academic, activism and feminism purposes well and good, rukhsaa....

Nadhani hili linakuwa applicable kipindi maslahi ya uhai wa ccm yanapokuwa hatarini,ila kutembeza bakuri hili manaruhusu hadi maamuzi kutoka nje yaingilie sheria na taratibu za nchi hii.
 
KIBAYA ZAIDI SANA ,Ni Sio tu ni watumishi wa umma bali ni walioteuliwa na RAIS huyo huyo anaegombea.

Unategemea haki itatendeka?

Raisi akivunja bunge mbona hajiuzulu na kukabidhi madaraka ama kwa spika nk?

Anagombea huku akiwa madarakani !!!
 
KIBAYA ZAIDI SANA ,Ni Sio tu ni watumishi wa umma bali ni walioteuliwa na RAIS huyo huyo anaegombea.

Unategemea haki itatendeka?

Raisi akivunja bunge mbona hajiuzulu na kukabidhi madaraka ama kwa spika nk?

Anagombea huku akiwa madarakani !!!
ungejifunza vizuri chimbuko la siasa, demokrasia, udiktata, ufalme na umalkia uongozini, nadhani ungejizuia kujadili na kuhoji hivyo labda tu, katika hali ya kujikumbusha, kuelimisha na kuwajuza wengine.
But haidhuru, its okay, its good tunasonga mbele haturudi nyuma
 
Moja ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wadau wa demokrasia nchinina kitendo cha Tume kutumia watumishi wa umma katika michakato ya kiuchaguzi.

Kwa mujibu wa kifungu cha 21 cha Mswada, Tume itaendelea kutumia aukuazima watumishi wa umma kuwa wasimamizi wa uchaguzi, kwa lugha nyingine wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Mamlaka za Miji Midogo, Mamlaka za Miji, Manispaa na Majiji, Watendaji wa Kata, walimu na watumishi wengine wa serikali wataendelea kuwa sehemu ya wasimamizi wa uchaguzi ingawa neno lililotumika ni kuazima lakini ukweli ni kwamba watumishi wa umma wataendelea kuwa sehemu ya Tume kinyume na matarajio ya wadauwalio wengi.

Uchaguzi Huru na wa Haki utabaki kuwa Historia ya Mdomoni kwa namna hii!
Wajinga ndiyo waliwao. Kama si watumishi, unataka watoke kijiweni au Kenya? Tume kazi yako ni mara moja kila miaka mitano, utapata wapi mtu akae bure miaka mitano? Utamlipa nini? Kama unamlipa kwa miaka 5 bila kazi akisubiri hadi 2030, hiyo hela utaipata wapi? Kwa nini usitumie watoto wa shule na walimu wao wakati wako likizo?
 
Watumishi wa umma ni rahisi kupatikana na ni rahisi kumwajibisha na hawezi kukimbia na box la kura , umpe raia box la kura akichoma au akitoweka nalo utampata wapi?
Kila ripoti ya CAG inaonyesha fedha zinazoibiwa na watumishi wa umma, na hakuna hatua yoyote inachukuliwa. Itakuwa kupora hayoabox ya kura?

Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi pekee ndio yatarejesha heshima ya box la kura.
 
Watumishi wa umma ni rahisi kupatikana na ni rahisi kumwajibisha na hawezi kukimbia na box la kura , umpe raia box la kura akichoma au akitoweka nalo utampata wapi?
Hoja dhaifu mtu anapoteaje na box la kura ulinzi uko wapi. Hizo mbinu chafu na kukosa kujiamini kwa chama
Wajinga ndiyo waliwao. Kama si watumishi, unataka watoke kijiweni au Kenya? Tume kazi yako ni mara moja kila miaka mitano, utapata wapi mtu akae bure miaka mitano? Utamlipa nini? Kama unamlipa kwa miaka 5 bila kazi akisubiri hadi 2030, hiyo hela utaipata wapi? Kwa nini usitumie watoto wa shule na walimu wao wakati wako likizo?

tawala na tume ya uchaguzi
 
Moja ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wadau wa demokrasia nchinina kitendo cha Tume kutumia watumishi wa umma katika michakato ya kiuchaguzi.

Kwa mujibu wa kifungu cha 21 cha Mswada, Tume itaendelea kutumia aukuazima watumishi wa umma kuwa wasimamizi wa uchaguzi, kwa lugha nyingine wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Mamlaka za Miji Midogo, Mamlaka za Miji, Manispaa na Majiji, Watendaji wa Kata, walimu na watumishi wengine wa serikali wataendelea kuwa sehemu ya wasimamizi wa uchaguzi ingawa neno lililotumika ni kuazima lakini ukweli ni kwamba watumishi wa umma wataendelea kuwa sehemu ya Tume kinyume na matarajio ya wadauwalio wengi.

Uchaguzi Huru na wa Haki utabaki kuwa Historia ya Mdomoni kwa namna hii!
WATUMISHI WA TUME HURU YA UCHAGUZI NDIO WALIPASWA KUTUMIKA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Moja ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wadau wa demokrasia nchinina kitendo cha Tume kutumia watumishi wa umma katika michakato ya kiuchaguzi.

Kwa mujibu wa kifungu cha 21 cha Mswada, Tume itaendelea kutumia aukuazima watumishi wa umma kuwa wasimamizi wa uchaguzi, kwa lugha nyingine wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Mamlaka za Miji Midogo, Mamlaka za Miji, Manispaa na Majiji, Watendaji wa Kata, walimu na watumishi wengine wa serikali wataendelea kuwa sehemu ya wasimamizi wa uchaguzi ingawa neno lililotumika ni kuazima lakini ukweli ni kwamba watumishi wa umma wataendelea kuwa sehemu ya Tume kinyume na matarajio ya wadauwalio wengi.

Uchaguzi Huru na wa Haki utabaki kuwa Historia ya Mdomoni kwa namna hii!
Tunaomba utuwekee hiyo hukumu ili tusome wenyewe.Mmezoea kudanganywa sana na hao wanaharakati.
 
Back
Top Bottom