kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Ukiangalia vizuri tabia zetu sisi watu weusi Utagundua Mungu alikuwa ana sababu ya kubariki wenzetu weupe alafu sisi akatuacha. Watu weusi hatupendani kama wenzetu weupe.
Watu weusi tuna wivu wa kijinga, katika siku hizi za karibu nchi kama USA, Canada, Sweden na nyingine nyingi zimekuwa na tabia ya kuchukuwa wakimbizi kutoka nchi nyingi za Afrika kutupeleka kwao ili tufanye kazi.
Ila cha ajabu na cha kusikitisha watu weusi wenzetu ambao wako huku miaka mingi ndio wanachukia zaidi kuletwa kwa wakimbizi kuliko hata Wazungu wenyewe utafikiri nchi ni zao.
Kama USA mablack America wamekuwa na tabia ya kutupiga marisasi na kutupa kesi za ajabu ajabu.
Mpaka kuna magrupu yao fulani wamefungua conditions zao utasikia No congolais, No Africa na wanatujua kwa vingereza vyetu vya kuokota maneno.
Hivi kwanini watu weusi hatupendani na sio tu huku hata Afrika kwenyewe tulikuwa tunaona why?
Watu weusi tuna wivu wa kijinga, katika siku hizi za karibu nchi kama USA, Canada, Sweden na nyingine nyingi zimekuwa na tabia ya kuchukuwa wakimbizi kutoka nchi nyingi za Afrika kutupeleka kwao ili tufanye kazi.
Ila cha ajabu na cha kusikitisha watu weusi wenzetu ambao wako huku miaka mingi ndio wanachukia zaidi kuletwa kwa wakimbizi kuliko hata Wazungu wenyewe utafikiri nchi ni zao.
Kama USA mablack America wamekuwa na tabia ya kutupiga marisasi na kutupa kesi za ajabu ajabu.
Mpaka kuna magrupu yao fulani wamefungua conditions zao utasikia No congolais, No Africa na wanatujua kwa vingereza vyetu vya kuokota maneno.
Hivi kwanini watu weusi hatupendani na sio tu huku hata Afrika kwenyewe tulikuwa tunaona why?