Kwanini watu wengi wanapenda singeli???

Kwanini watu wengi wanapenda singeli???

Ukikaa uswahilini huku pwani lazima huo mziki utaupenda. Kwanza kuanza kwake kulianza kama rebellion ya main stream media music. Waimba taarab walipambana sana kuwapinga ma DJ wa uswahilini kuwa wanaharibu nyimbo zao. Msaga Sumu alikuwa na uwezo wa kuburudisha yeye mwenyewe watu zaidi ya 2000 at once kwa maiki na biti la kuiba na DJ aliyevaa ndala tu.
Anyway, pamoja na yote singeli, mnanda, mchiriku ni nyimbo za asili au zimetokana na ubunifubwa ndani zaidi kuliko hizo nyingine nyingi ambazo asili yake si hapa Tz.
 
Back
Top Bottom