Kwanini watu wengi wanapenda singeli???

Kwanini watu wengi wanapenda singeli???

Katika aina ya music ambao siuelewi ni singeli.
Ingawa nilitokea kuupenda ule wimbo wa “mamu” alioshirikishwa Mr. Blue.
 
Jana nimekesha kwenye kigodoro had saa 9 leo yaan raha kwel kwanza hapa DSM
 
huu mziki hauna utulivu tempo yake 2 unaona ilvyorace na tz idadi kubwa ya watu ni vjana na vijana cku hz wapo race na maisha ko razma waendanene na vitu znye pigo izo za urace urace kila saa yaan m2 yuko nduuuuki apo blues haimake sense
 
Back
Top Bottom