Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 11,325
- 33,980
Usitoke! Hizo bruto tuachie pisi kališNAKUNHWA moja tu kusema kweli Hunitoi kwa Safafi na Castle lite
Usitoke! Hizo bruto tuachie pisi kališNAKUNHWA moja tu kusema kweli Hunitoi kwa Safafi na Castle lite
Kaka Umemaliza Kila kitu..Umeandika na wamekuelewa bro . Sina shaka kwenye Hilo.
Binafsi nakunywa pombe ili nirelax. Nipate muda wa kufuatilia ishu 2 tatu kwa simu. Nipate akili ya ziada.
(Stimulate brain activities).
Nimepunguza mabia sikuhizi. Na kama Nikinywa katkat ya wiki bas jua kuna mpira au kuna kikao muhim na mtu.
Ila ijumaa & jmosi najiloweka kabisa.
Kwangu Ladha ina matters a lot.
pia matokeo baada ya kunywa bia (hangover)
Ndio maana nakunywa Castle lite au castle lager.
Hata nikipiga 15+ naamka sina hangover. Nikila nikioga nakuwa mpya.
Ila mapombe makal au bia nyingne Siziwezi. nitamka na mawenge. Na hiyo sipend kabisa.
Umechunguza nini?Asanteni sana kuna uchunguzi nilikuwa naufanya, kupitia comments zenu, nimepata kitu.
š
Wewe ambae haunywi unapata faida gani??!!!Unapata faida gani ukinywa hizo vitu ulizotaja?
Ipo vizuri šFlavoured Beer.
5% Alcohol.
Pombe zimekuharibu ubongo! Yani umetafakari ukaona mimi ambaye situmii ndiye ninayetakiwa kutaja faida?Wewe ambae haunywi unapata faida gani??!!!
Pombe zimekuharibu ubongo! Yani umetafakari ukaona mimi ambaye situmii ndiye ninayetakiwa kutaja faida?
Kuna kipindi miaka ya nyuma kdg nilipata mpendwa hataki pombe ameokoka, ikabidi niache kama 3 yrs (nikaokoka)! nilikuwa nakunywa tu beer nilipoachana naye nilikuwa nakata henessy pori mwenyeweš nilirudi na spidi ya hatari, nilipofika chuo ndio nikawa balaa nikiikosa tu nakosa amani kbs, napenda tu niione mule ndani aisee nikiamka asbh naonja naendelea na ratiba zingine!Seran uliacha kwa muda gan?.
Mm nadhan toka 2013 hiv sijawah pitisha zaid ya wiki moja sijanywa Bia.
Nishakatiza dozi mara kadhaa šššš. Mm dozi ni siku 3 tu. Napumzika ya nne. Alaf ya tano Kimea kinaendelea...
Miaka hii miwili nguvu zinapungua. Naweza kukaa siku 3 hiv katkat ya wiki na nisiguse Kimea...
Nitaacha tu najua. Ila huko mbelen.
Asanteni sana kuna uchunguzi nilikuwa naufanya, kupitia comments zenu, nimepata kitu.
š
Kila mtu ashinde mechi zakeškamnyweso kanatesa Watu !
Inshort anaekunywa anajiona mjanja, anapata madili.... ambae hatumii anajiona mstarabu, anaheshimika hachezei pesa!
Kila mtu acheze anapostahili !
Hakuna namna....nagusa tuwili au tutatu weekend nikitoka...au naweza pitiliza hata mwezi bila kugusa...Kila mtu ashinde mechi zakeš
Hata kama ni miezi ni sawa tu kila mtu afurahie maisha yake! Y.O.L.OHakuna namna....nagusa tuwili au tutatu weekend nikitoka...au naweza pitiliza hata mwezi bila kugusa...
UKIONA HUWEZI POMBE ACHANA NAZO MAANA SIO KILA KICHWA KINA UWEZO WA KUMUDU ALCOHOL