Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 11,362
- 34,109
Ww nimecheka kama tahira😂 tetanus ni vyuma hivyo?H
Huu mguu ukimgonga Raia lazima apate Tetenus
Ww nimecheka kama tahira😂 tetanus ni vyuma hivyo?H
Huu mguu ukimgonga Raia lazima apate Tetenus
Wengi wao wasio kunywa pombe wamelalia kwenye uzinziImagine dunia ina watu Billion kadhaa na unafikiri wote wanapata raha na furaha kwenye pombe tu. Upo sawa mkuu?..
Wengine hata hatukumbuki mara ya kwanza kunywa pombe ni lini maana imagine una miaka sita tayari ushajifunza kubugia za wazee wakiziacha.
Kwa hiyo si kila anaekunywa soda hajawahi kunywa bear au hayajui maisha ya bear. Na kwanza wengi wanaokunywa pombe wanazinywa kama escape maana ukiitoa pombe wanakuwa miserable, no friends, no life, no nothing..
Wanaokunywa pombe kwa kuifurahia ni wanahesabika ila wengi ni kampani, mazoea na addiction.
Cuca ndonn? Mi mpenzi wa whiskey sanaLike cuca, nyagi.
Wangapi unawajua hawanywi pombe na ni wazinzi ??....Wengi wao wasio kunywa pombe wamelalia kwenye uzinzi
Mimi sinywii kijinga jinga nakunywa for recreation only. Sina company yoyote Mimi nakunywa ki binafsi sina makundi..Imagine dunia ina watu Billion kadhaa na unafikiri wote wanapata raha na furaha kwenye pombe tu. Upo sawa mkuu?..
Wengine hata hatukumbuki mara ya kwanza kunywa pombe ni lini maana imagine una miaka sita tayari ushajifunza kubugia za wazee wakiziacha.
Kwa hiyo si kila anaekunywa soda hajawahi kunywa bear au hayajui maisha ya bear. Na kwanza wengi wanaokunywa pombe wanazinywa kama escape maana ukiitoa pombe wanakuwa miserable, no friends, no life, no nothing..
Wanaokunywa pombe kwa kuifurahia ni wanahesabika ila wengi ni kampani, mazoea na addiction.
Hayo maelezo yako yote yamesaidia nini? 😂 Umesoma sana ukaandika thesis juu ya pombe. Kunywa maji upumzike, stress za dunia zina tupeleka mbali sana.
Hakuna mtu malaya kama mlevi sasa kwa taarifa yako mwanamke akishalewa kumvua nguo ni rahisi sanaWengi wao wasio kunywa pombe wamelalia
Hakuna mtu malaya kama mlevi sasa kwa taarifa yako mwanamke akishalewa kumvua nguo ni rahisi sanaWengi wao wasio kunywa pombe wamelalia
Ndio inavyosemekana mkuu!Aaaaah kumbe mnaniona cha pombe
Vipo vingi we kama hujaanguka huko mshukuru Mungu, wengi hawajitambui akiona pombe haiwezi anatafuta umwamba kwenye uzinzi! Watu wengi hawajui kujitengenezea furaha wenyewe! Wapo wengi tu!Wangapi unawajua hawanywi pombe na ni wazinzi ??....
Je, wanaokunywa sio wazinzi?..
Na unataka kumaanisha, hakuna kingine chochote cha kuchagua maishani kiasi lazma uangukie kati ya pombe na uzinzi ?
- Kwamba 'Pombe' za siku hizi zina Asali? sio.Pombe ni Tamu sana
Kwa hiyo ndio tumeachana Mama mchunga?Ndio inavyosemekana mkuu!
Hatujaachana mahi❤️Kwa hiyo ndio tumeachana Mama mchunga?
Hapo sawa nikajua kisa nakunywa nimeachwaHatujaachana mahi❤️
Mwee mi nilijua wanaume ni wazinzi in nature kumbe mpaka wakilewa🫢Hakuna watu wazinzi kama wanywa pombe sasa kwa taarifa yako, mwanamke akishalewa kuvuliwa nguo ni rahisi Sana, mwanaume akilewa anafikiria kuondoka na mtu, ulevi na uzinzi ni ndugu wa tumbo moja fatilia utapata majibu
Hapana sisi hatuachani mpaka jamii forums ifutwe🤭 ukilewa nakusindikiza usijali baMtu🥰Hapo sawa nikajua kisa nakunywa nimeachwa
Kwani ndugu asali peke yake ndio tamu?- Kwamba 'Pombe' za siku hizi zina Asali? sio.