Kwanini watu wanaipenda pombe?

Kwanini watu wanaipenda pombe?

Mimi sinywii kijinga jinga nakunywa for recreation only. Sina company yoyote Mimi nakunywa ki binafsi sina makundi..

Of course sina stress,sina shida ndogo ndogo..maisha yanaenda vyema...
🙏🏽
 
Vipo vingi we kama hujaanguka huko mshukuru Mungu, wengi hawajitambui akiona pombe haiwezi anatafuta umwamba kwenye uzinzi! Watu wengi hawajui kujitengenezea furaha wenyewe! Wapo wengi tu!
Ni kwa sababu bongo tunaishi kwa kuangalia watu watanionaje. Nisipokuwa mnywaji na nisipopenda uzinzi, nitapata wapi kampani au marafi wa kuendana nao?...

Kiuhalisia bongo hii, ukitoa mpira, pombe na sex. Ni ngumu kupata watu watakaoongelea mazungumzo mengi. Hivyo sihukumu mtu kwa choices zake ila ningependa pia kila mtu asiweke limits na nadharia zake kwenye maisha ya mtu mwingine
 
Kila mtu afanye kinachompa furaha,

Ukiishi kuwapendezesha wanadamu ni kazi bure,

Jikubali, jipende,

Kwenda out kutembea kunywa ama kula unaweza enda peke yako na kila kitu kikawa ok,

Ukiwa na watu pia zaidi sana ni kampani tuu,

So ishi maisha yako, everything is hard, choose your hard
 
Pombe kama una miguu imara na sio kichwa panzi uta enjoy sana!

Plus ganja...
 
Yani hii ya sasa ndio apple punch nmeonja za apple aisee ni kupoteza pesa😂.. kiukweli napenda whiskey hizi sukari basi tu nisionekane kazi ngumu😂😂

Niletee hunting lodge, captain morgan, JD, Jagger, famous grouse n.k🌚
Jagger ukipiga afu uende toilet ni balaa hiyo smell yake🤣🤣🤣
 
Ukilewa unasikia harufu mkuu? 😅
Mwaka juzi nilikuwa napiga hiyo kitu,afu nipo nyumba ya kupanga..kila siku napata kesi kwa wife🤣🤣😃

Anyway,mimi mtu asiyekunywa pombe simfagilii kabisa,na kama hakuna namna ya kumkwepa huwa naongeza umakini sana ninapokuwa naye..jamaa wanakuwaga jau sana wambea wambea,wanafiki,kufuatilia maisha ya watu n.k
 
Back
Top Bottom