Kwanini watu wanaipenda pombe?

Kwanini watu wanaipenda pombe?

Wakuu habari

Naomba kufahamu katia unywaji wa pombe kali au bia,

Issue ya ladha, relaxation na mood ile ya kuhis vibe fulani, ndio vinawaletea mumkali?

Ladha gani mnayoipenda kwa bia na pombe kali.

For user only🔥
Utamu siyo lazima uwe kama asali!...ladha ya bia ya ukali au uchachu ndo utamu wake hasa bia ikiwa baridi sana!...kwani maji yana ladha gani niambie lakini mbona matamu?
 
Nyinyi wanywa soda jau sanaaaaaa... Sisi wengine tuna kunywa responsible hatufanyi over drinking.

Tuna kazi halali, familia, busara,utii,adabu, hadhi na heshima kwenye jamii ni watu wa mfano wa kuigwa waungwana.

NB. For years pombeee imetumika na wafalme / ma champion na washindi wa vita..

Kama hujawai kutumia KILEVI chochote basi wewe jua HUJAWAI KUISHI KABISA KABISA
Kwa mara ya pili umeruka swali.. hayo madude unayokunywa yanakusaidia nini?
 
Nilianza kunywa bia kwasababu ya stress tu za harakati. Yani mishe zikinivuruga lazima nipitie bia 2 niwe high kidogo
 
Nyinyi wanywa soda jau sanaaaaaa... Sisi wengine tuna kunywa responsible hatufanyi over drinking.

Tuna kazi halali, familia, busara,utii,adabu, hadhi na heshima kwenye jamii ni watu wa mfano wa kuigwa waungwana.

NB. For years pombeee imetumika na wafalme / ma champion na washindi wa vita..

Kama hujawai kutumia KILEVI chochote basi wewe jua HUJAWAI KUISHI KABISA KABISA

Imagine dunia ina watu Billion kadhaa na unafikiri wote wanapata raha na furaha kwenye pombe tu. Upo sawa mkuu?..

Wengine hata hatukumbuki mara ya kwanza kunywa pombe ni lini maana imagine una miaka sita tayari ushajifunza kubugia za wazee wakiziacha.

Kwa hiyo si kila anaekunywa soda hajawahi kunywa bear au hayajui maisha ya bear. Na kwanza wengi wanaokunywa pombe wanazinywa kama escape maana ukiitoa pombe wanakuwa miserable, no friends, no life, no nothing..

Wanaokunywa pombe kwa kuifurahia ni wanahesabika ila wengi ni kampani, mazoea na addiction.
 
Mwanaume ni lazima unywe pombe.
Nalog off Z
Ukimuona mtu anakaa sober 24/7 mwaka mzima muheshimu. Ni rahisi kunywa pombe kwa sababu ni kila kitu mtu anafanya, ni escape ya wengi wanaokimbia uhalisia wao na kutafuta kampani ambazo hazina bond strong.
 
Mimi nakunywa pombe tamu tamuu..

Kwa Sasa namix konyagiiii na tonic water.

Au na mix ukwaju na KONYAGIIII murua sana sanaa

Magic moment mix na tonic water murua kabisaa..

Bia nazo penda Smirnoff black ice, flying fish...

Hizi sipendezwi maana zinanukisha harufu safari lager, caste lager, balimi, Serengeti lager aiseeee sizipendii kabisa..
Chai
 
Back
Top Bottom