mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 3,263
- 4,471
Zikiwa zimetoka toka tu siku moja nikasema hebu nivute moja nisikilizie nilipiga funda 3 nikashindwa kabisa nikaimwaga nikamwamnia niletee safari kubwa 3 za barisdiiii zaidi ya FrijiFlying fish…🙄
Zikiwa zimetoka toka tu siku moja nikasema hebu nivute moja nisikilizie nilipiga funda 3 nikashindwa kabisa nikaimwaga nikamwamnia niletee safari kubwa 3 za barisdiiii zaidi ya FrijiFlying fish…🙄
Tuko kama juice, husikii chochote mwenzetu ushazoea kazi ngumu😂Zikiwa zimetoka toka tu siku moja nikasema hebu nivute moja nisikilizie nilipiga funda 3 nikashindwa kabisa nikaimwaga nikamwamnia niletee safari kubwa 3 za barisdiiii zaidi ya Friji
Flavoured Beer.flying fish...
Kunywa Jack Daniel kwa kuchanganya na tonic water kidoooogo, lkn pia usisahau kutia barafu.Ladha pia unazingatia?
Nimeshajatibu bia nyingi sanaTuko kama juice, husikii chochote mwenzetu ushazoea kazi ngumu😂
Kunywa ujueWakuu habari
Naomba kufahamu katia unywaji wa pombe kali au bia,
Issue ya ladha, relaxation na mood ile ya kuhis vibe fulani, ndio vinawaletea mumkali?
Ladha gani mnayoipenda kwa bia na pombe kali.
For user only🔥
Hiyo savana na sminorff ulikuwa unajaribu hadharani kabisa? Wewe piga whiskey tu beer ushavuka aisee😆Nimeshajatibu bia nyingi sana
Heinekein
Windhoek
SIRMOFF
SAVANNA
LOCAL beer zote hadi Balimi
Mimi nakunywa Bia Mbili tu Castle lite kama mfuko uko vizuri sikuhiyo, Au Safari lager nikipiga Sita kubwa lazima nikae kiasakari kabisa!!
Unapata faida gani ukinywa hizo vitu ulizotaja?Mimi nakunywa pombe tamu tamuu..
Kwa Sasa namix konyagiiii na tonic water.
Au na mix ukwaju na KONYAGIIII murua sana sanaa
Magic moment mix na tonic water murua kabisaa..
Bia nazo penda Smirnoff black ice, flying fish...
Hizi sipendezwi maana zinanukisha harufu safari lager, caste lager, balimi, Serengeti lager aiseeee sizipendii kabisa..
Niliwahi kumix hiyo colabo hapo 😀Hiyo savana na sminorff ulikuwa unajaribu hadharani kabisa? Wewe piga whiskey tu beer ushavuka aisee😆
Hahaha pole sminorff si mchezo especially kipindi ina 7% sio hii ya sasa sijui 4.5 enzi hizo ukila 3 tu unaongea kingereza hataree!😅Niliwahi kumix hiyo colabo hapo 😀
Nilipumzika muda mrefu eheee. Ilikuwa nikiona bia nalewa kabla hata nisikie harufu
Unaongelea hii dada😁😁 yani juice sio juice hii aisee nmekata carton ni aibu🤣Coz ni kitu nzuri. Flying fish ni Bia pekee ya Tanzania niliyoweza kuinywa.. ikiwa ni ile ya kikopo naona ni tamu zaidi kuzidi chupa.
Afu ukishazipiga sex yake ni extra ordinary..
Niliiacha nayo mudaa. Hizi mpya zenye flavour tofauti sijawahi jaribu.. enzi ya 7 unalewa asbh unaamka kichwa kama umebeba nyumba 😆Hahaha pole sminorff si mchezo especially kipindi ina 7% sio hii ya sasa sijui 4.5 enzi hizo ukila 3 tu unaongea kingereza hataree!😅
Yani hii ya sasa ndio apple punch nmeonja za apple aisee ni kupoteza pesa😂.. kiukweli napenda whiskey hizi sukari basi tu nisionekane kazi ngumu😂😂Niliiacha nayo mudaa. Hizi mpya zenye flavour tofauti sijawahi jaribu.. enzi ya 7 unalewa asbh unaamka kichwa kama umebeba nyumba 😆
Nikabaki na wine tu.. vi flying fish vilipotoka ndiyo nikavistesti nikatulia navyo
Yes.. huto ni tutamu sana kuzidi ya chupaUnaongelea hii dada😁😁 yani juice sio juice hii aisee nmekata carton ni aibu🤣
Hapo mwisho umesemaje? Kumbe ina vitabia kama vya Redd’s🌚 vitu vyenye sukari sio poaa!!
Mwee ila mi ni sugu ata sisikiagi kitu labda 420😂Yes.. huto ni tutamu sana kuzidi ya chupa
Na unavinywa vingi ndio ukae kwenye mstari 😀😀
Mambo yanakuwa bam bam.. hata budweiser ina hako ka tabia 🏃♀️
Sukari za kutia maua mezani muhimu😀😀Yani hii ya sasa ndio apple punch nmeonja za apple aisee ni kupoteza pesa😂.. kiukweli napenda whiskey hizi sukari basi tu nisionekane kazi ngumu😂😂
Niletee hunting lodge, captain morgan, JD, Jagger, famous grouse n.k🌚