Kwanini watu wa vijijini na masikini sana huwa na sura na maumbile mabaya tofauti na wa mjini au matajiri?

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,928
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Inategemea ni kijiji gani unaongelea...
Kuna vijiji vimechachuka yani ukienda huko wa mjini ndo unajistukia.
Nenda milimani huko mamba miamba siku ya soko jumatano uone wanawake na wanaume wanavyowaka na walivyo nadhifu kwa mavazi yao na pia walivyo wazuri wa sura.
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
alafu ukute unaishi kwa shemeji yako... kwa akili izo kiukweli tunasafari ndefu
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Bila picha Uzi huu ni batili.....
 
Inategemea ni kijiji gani unaongelea...
Kuna vijiji vimechachuka yani ukienda huko wa mjini ndo unajistukia.
Nenda milimani huko mamba miamba siku ya soko jumatano uone wanawake wanavyowaka na walivyo nadhifu kwa mavazi yao na pia walivyo wazuri wa sura.
Umepataja kwetu mimi ni mpare najua dada zangu wazuri sana. Ila bàdo huo utafiti wangu ni sahihi 💯
 
Kipato ni one of the biggest factors kumshepu binadamu. Umaskini huleta maradhi ambayo yana big effects kwenye physiological appearance ya mtu.

Mfano, maskini wanaoliea na funza automatically vidole vya miguuni vitakaa upande hence hata tembea zitakuwa na kasoro; watadeviate from normal. The same kwa maskini wanaosumbuliwa na chawa, kunguni, etc ngozi zao lazima ziwe na kasoro. Mshukuru Mungu.
 
Hawana sura mbovu ila hawanaga Nuru ...Unajua Nuru inachangiwa na nn?

Kuna vitu kama lishe ndo maana ngozi Zina komaa na maswala ya kutumia hata showergel na mafuta mazuri hakuna ndo maana wanapoteza urembo wao.

Kuna madogo huko wanakosa matunzo ila wakija town hapa wanapendeza kwani wako na uzuri wa halisi..Mji ujuaji ni mwingi hata pisi mbovu itajipiga make up .

Angalia hyo mikoa lishe zao zilivyoduni ial wakija town ndo hao wengi ni warembo
20230216_213639.jpg
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Bila shaka unaongelea kijijini mbeya, na huko Mara tarime,

Hivi ushawahi enda kijijini tanga? Kondoa, pwani, singida?
 
Back
Top Bottom